Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

At buffalo44 jinsi ninavyokueleza daily juu ya hii tabia yako ya kulialia, huyu hapa Kelis, mwanamziki wa Marekani yupo Kenya. Kasema Ako kwa farm ya rafiki wake hapa Kenya na kaonyesha kwa video Mlima Kilimanjaro ukaonekana. Hapo hapo wabongo wakaleta siasa zao za Mlima uko Tz wacheni kuuiba. Hata Kelis naye amechoka nao kamjibu aache ujinga na hilo analijua.😂😂😂
Alafu nimependa jinsi Wakenya walivyojibu eti saa zingine wao husema Air Tz ni ya Kenya ndio acheke jinsi wabongo mnavyorukwa na akili. Ila Wabongo bana.😂😂

View attachment 2976450View attachment 2976451View attachment 2976452View attachment 2976453View attachment 2976455
We maku acha uongo eti kelis yuko kunyaland,eti kasema yuko kwa farm wa rafiki yake,kelis alikuwepo africa miezi kadhaa iliyopita,na hakuna nchi iliyomvutia africa kama Tanzania,usijipe umuhimu na ako kanchi kenu kachafu,video hizo hapo kelis alipokua TZ,amevutiwa na vitu vingi TZ na ndio alpokua huko kwenu akawa bado anaonyesha feeling zake kwa mt kilimanjaro,alipokua moshi kafika hadi kwenye mashamba ya kahawa so tuseme mashamba ya rafiki zake?
 

Attachments

  • 22b4e1a159913e692eb60f1ba8516894.mp4
    4.3 MB
  • 476cfc8111a0a74461dca8dcb9559663.mp4
    5.4 MB
  • 05573aca7fd3e55ab79ee398896559a1.mp4
    5 MB
  • 73325be35a9e7726755f99b0750b5f4a.mp4
    7.9 MB
We maku acha uongo eti kelis yuko kunyaland,eti kasema yuko kwa farm wa rafiki yake,kelis alikuwepo africa miezi kadhaa iliyopita,na hakuna nchi iliyomvutia africa kama Tanzania,usijipe umuhimu na ako kanchi kenu kachafu,video hizo hapo kelis alipokua TZ,amevutiwa na vitu vingi TZ na ndio alpokua huko kwenu akawa bado anaonyesha feeling zake kwa mt kilimanjaro,alipokua moshi kafika hadi kwenye mashamba ya kahawa so tuseme mashamba ya rafiki zake?
Piga bakora hiyo chokoraa ya kibera.
 
Mapinduzi amefanya Magufuli, mama yako yupo yupo tu!
📌📌📌🔨Unune,uchukie au utukane huo ukweli hautaufuta
20240319_101511.jpg
20240325_140420.jpg
 
Piga kabisa hao kunguru
We maku acha uongo eti kelis yuko kunyaland,eti kasema yuko kwa farm wa rafiki yake,kelis alikuwepo africa miezi kadhaa iliyopita,na hakuna nchi iliyomvutia africa kama Tanzania,usijipe umuhimu na ako kanchi kenu kachafu,video hizo hapo kelis alipokua TZ,amevutiwa na vitu vingi TZ na ndio alpokua huko kwenu akawa bado anaonyesha feeling zake kwa mt kilimanjaro,alipokua moshi kafika hadi kwenye mashamba ya kahawa so tuseme mashamba ya rafiki zake?
 
Back
Top Bottom