President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,792
Kwani alienda Tanzania lini?Yani wamemfuatilia kama upuzi. Video Kila mahali akishuka JKIA. Meanwhile Ruto akiwa huko hata Mimi nimejulia kwa hii thread.😂😂😂
Mh. Dr. Samia Suluhu ni Rais wetu lazima tumfuatilie kila sehemu. Je, inawahusu?Yani wamemfuatilia kama upuzi. Video Kila mahali akishuka JKIA. Meanwhile Ruto akiwa huko hata Mimi nimejulia kwa hii thread.😂😂😂
Hawa wanadhani KICC ni kama hivyo vihoteli vyao vya Zanzibar vyenye conference room Moja.
Last week.😂😂😂😂Kwani alienda Tanzania lini?
Mgeni yeyote akija Tanzania lazima tuseme. Kwani kuna tatizo kusema Ruto amekuja Tanzania? 😀 😀 😀 😀Last week.😂😂😂😂
Walipost humu wakijisifu. Yani Rais wetu akienda kwao, wanajisifu. Wao akija kwetu, wanajisifu. Hawa watu bana.😂😂😃
Kwahiyo renovation mwiko? Nyoko sana wewe!Kuna kitu kinaitwa preserved architecture. KICC ni jengo ambalo limepata award nyingi kwa design yake ya kipekee. Ni miongoni mwa majengo ya Nairobi ambayo ni historical sites ambayo hayawezi bomolewa. Ukimodify hili jengo, utaaribu design yake ya mwanzo ndio maana lipo jinsi lilivyo na bado ndio the most respected conference center in East Africa na pia one of the best in Africa. Hivyo viti vipo jinsi vilivyo sababu tumetaka viwe hivo. Najua nyinyi watu wa kushobokea blue glass buildings hamwezi elewa maana ya preserved architecture.
Limejaa nyonyo kifuani!Wewe ng'ombe View attachment 2976745
Renovation is done to restore it into its original condition, not to change the design.Kwahiyo renovation mwiko? Nyoko sana wewe!
Nani amekuambia our appeal was a design change! Nikikuletea vyoo vya KICC utakimbia!Renovation is done to restore it into its original condition, not to change the design.
Your appeal kama nani? Jengo ni lako? Jengo ni la Bongolala?Nani amekuambia our appeal was a design change! Nikikuletea vyoo vya KICC utakimbia!
International standards venues for conferences zinajulikana KICC is unfortunately not among them!Your appeal kama nani? Jengo ni lako? Jengo ni la Bongolala?
KiCC ni choo mbele ya modern venues zinazopatikana Tanzania! Haino ndani hata kwa JNICC!Hawa wanadhani KICC ni kama hivyo vihoteli vyao vya Zanzibar vyenye conference room Moja.
Mzee wa English Speakers 😀 😀 😀 😀 👇 👇 👇 👇Renovation is done to restore it into its original condition, not to change the design.