Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,923
- 103,792
Tunangoja kibali!Unadhani ni KQ ndio imefanya mkawa na less frequency huko? Punda mgonjwa.
Tunangoja kibali!Unadhani ni KQ ndio imefanya mkawa na less frequency huko? Punda mgonjwa.
Fool it is Orgasm and not Orgasim!Orgasim, please repeat after me.
Kumbe hata posi za kibongo zinajua kwamba hizi mungiki ni akina masoud sura mbaya 🤣🤣🤣 hizi pisi zina dharau sana 👇
View: https://www.instagram.com/reel/C6Wr9emLqku/?igsh=dHpiOTlnN2F4ZDh5.
Bora kwa kweli. Miaka ya 1999 nilifika pale for the first time nilisikitika sana. Lilikuwa ni danguro, kuna upande zinauzwa Chibuku na Mbege hatari kwa kweli.DDC Kariakoo inakula nyundo. Labda inapisha kitu kikubwa.
Wewe mpumbavu NairobiWalker angalia unavyoumbuliwa!We maku acha uongo eti kelis yuko kunyaland,eti kasema yuko kwa farm wa rafiki yake,kelis alikuwepo africa miezi kadhaa iliyopita,na hakuna nchi iliyomvutia africa kama Tanzania,usijipe umuhimu na ako kanchi kenu kachafu,video hizo hapo kelis alipokua TZ,amevutiwa na vitu vingi TZ na ndio alpokua huko kwenu akawa bado anaonyesha feeling zake kwa mt kilimanjaro,alipokua moshi kafika hadi kwenye mashamba ya kahawa so tuseme mashamba ya rafiki zake?
Kiingereza cha kikabila hicho 🤣🤣🤣Fool it is Orgasm and not Orgasim!
Vyeti vyenu vya shule vyote huku ni kama makaratasi ya chooni ona dam ina burst poor engineering kuanzia kwenye magorofa, barabara na sasa dams nothing works in that cursed land.Mimi huwa nashangaa elimu ya hawa watanzania. They are all stupid and dumb.
Tunaenda Lumbumbashi itakuwa Kinsasha ngoja kibali kitoke hiyo route mtakuta imeshatekwa tayari.Air Tanzania doesn’t have the resources to upscale the frequency in that route.
Msije kusema hamjaona Agrarian Revolution 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C6Wg0dMou8F/?igsh=NXdrMmJpaWVyYzF1
Hapo umeua mende kwa nyundo mkuu 🤣🤣🤣Unga wa Ugali
Sasa mjinga akiongea ujinga alafu ashangiliwe na wajinga wenzake ndio kuumbuliwa eti?😂😂😂Wewe mpumbavu NairobiWalker angalia unavyoumbuliwa!
Hakuna picha yangu humu ambayo sijapost mwenyewe. Ukitaka kuona picha zangu rydi nyuma kwa post zangu utaziona. Endeleeni kujifurahisha.Ukiangalia picha za NairobiWalker na Teargas kuna ukweli na wanachosema wadada!
Unaandika maneno meengi sana. Comments huwa fupi fupi. Weka facts kama wanavyofanya watanzania.Sasa mjinga akiongea ujinga alafu ashangiliwe na wajinga wenzake ndio kuumbuliwa eti?😂😂😂
Nimesema Kelis yuko Kenya na amesema yuko kwa farm ya rafiki yake. Yeye anapinga kwa kupost Kelis akiwa Tanzania miezi ya nyuma. Sasa hiyo ndio kuumbuliwa? 😂😂
Anayejitafutia umuhimu ni nani?
Kelis yuko Kenya ama hayuko? Katembelea farm ya mwenzake ama hakuitembekea? Alafu wewe mwenyewe umeenda ukacomment kwa hiyo post akiwa Kenya kwa farm ya rafiki wake na bado ushangilia upumbavu wa huyo mgagaa sijui nani akipinga. Yani humu mnashangilia hata mtu akijipaka mavi Bora aseme kitu negati kuhusu Kenya.
😂😂 Usione nimeacha wajinga washerehekee ujinga ukaona nimeshindwa.