Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Safi sana kaka, asante kwa hii video, ni kweli hayo ma running track hatuyataki mana hii nchi sio ya riadha kama kenya, hii nchi ni ya soccer, ma running track yabaki Arusha ila Dar tunataka football stadiums, period.
Kuna mnuka mavi mmoja tu humu ndio anakaza fuvu 🤣🤣
 
Mpaka leo hawa watu wanatumia hivi viti tena kwenye high profile conference kama hiyo? 🤔 Wakati Tanzania hata kwenye harusi za maana hakuna mtu anataka hii sitting style ya kizamani hivi 😁

Hawana conference ya maana hawa waganga njaa

View attachment 2976763
Hii hapa Julius Nyerere International Convention Centre (Halafu walio kwenye Mkutano ni Presidents hawa jamaa ni wababaishaji sana)

1714395675517.png


1714395701696.png
 
Mpaka leo hawa watu wanatumia hivi viti tena kwenye high profile conference kama hiyo? 🤔 Wakati Tanzania hata kwenye harusi za maana hakuna mtu anataka hii sitting style ya kizamani hivi 😁

Hawana conference ya maana hawa waganga njaa

View attachment 2976763
Duh aisee hivi si viti vya sendoff parties? Yaani ina maana hamna hata pa kuweka laptop!
 
Duh aisee hivi si viti vya sendoff parties? Yaani ina maana hamna hata pa kuweka laptop!
KICC was constructed in 1969 you idiot. There are uncountable conference venues in Nairobi with modern halls. Nairobi sii ligi yenu.
 
Like? Can Nairobi compete with Zanzibar? AICC was also built same time but well maintained!
Bro, Nairobi can't compete with Zanzibar because it's condescending to do it. Hivi wewe ukiambiwa ufanye mtihani na mtoto wa darasa la nne utaskiaje? Stop being stupid.😂😂
 
Bro, Nairobi can't compete with Zanzibar because it's condescending to do it. Hivi wewe ukiambiwa ufanye mtihani na mtoto wa darasa la nne utaskiaje? Stop being stupid.😂😂
Waambie Nairobi is the center of Conferences in East Africa. If they have better conference facilities then why didn’t they host the event?
 
Back
Top Bottom