President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,053
- 93,444
Tanzania ndio abroad yenu, wapi kwengine mtaenda zaidi ya Tanzania, mna majirani wa5 lakini Tanzania ndio your default option sometimes mnajifanyaga Uganda is your close sister country lakini hata tuwatoboe macho bado mtakuja Tanzania tu mpende msipende, kila siku mnaropoka traffic wetu wanawaonea mara Tanzanians ni hostilities lakini next round mnadouble arrivals number, haisaidii acha tuwatese tu at your own costs.Kwani hujaijua tourism industry ya Tanzania is controlled by Kenyans? Bila Kenyans Tanzanian tourism receipts will be below $1B.
Again Kenyans got money to spend, watanzania umaskini has blocked them from even touring their own country.
Zima hiyo kitu.Maybe macho ya watanzania nobody knows about CAF.
Show me any Asian News outlet talking about CAF.
View: https://twitter.com/DirtFishRally/status/1773706363174105582?s=19
Ila angekua anaongelea Rally angejulikana?Huyu hata hajulikani Kenya. Ilibidi nigoogle jinake to confirm if indeed he is a Kenyan.
Heheheee na kwnn mmezidisha kasi kuanzia leo kwani habari kwamba mwaka huu huko kwenu kuna rally zimetoka leo? Wacheni upumbavu hakuna mtu asiyejua ukubwa wa mechi ya leo na kesho, alafu mechi yenyewe ni quarter finals ya caf champions league, koma kulinganisha mashindano makubwa kama haya na huo upuuzi wenu wa Rally inayofanyika Africa alafu Africa yenyewe Kenya.Hii rally tumekua tukiiandaa kila mwaka sasa wewe na ujing awako unadhani huu mwaka tunaiandaa kisa kuna mpira unachezwa hapo kwenu?
Wewe ukapimweNimewaambia wanionyeshe any news outlet outside Africa talking about CAF wakashindwa. Hata Kenya, Uganda, Ethiopia, Nigeria, Ghana, Morroco, Ivory Coast, Senegal, Angola and DRC hakuna any news outlet talking about CAF.
Tofauti na hawa mamantilie wa Uganda waliokuja kuhustle kwenye hayo mashilingi yenu nani mwingine kaja?Hii rally tumekua tukiiandaa kila mwaka sasa wewe na ujing awako unadhani huu mwaka tunaiandaa kisa kuna mpira unachezwa hapo kwenu?
Hilo turubai la msiba mnajenga kwa ajili ya nini?Nani anawaangalia? Nobody cares about CAF.
🤣🤣🤣🤣 Teargas bana. Nakukubali kwa kukaza fuvu.Kwani hujaijua tourism industry ya Tanzania is controlled by Kenyans? Bila Kenyans Tanzanian tourism receipts will be below $1B.
Again Kenyans got money to spend, watanzania umaskini has blocked them from even touring their own country.
Tatizo anaivutia chooni 🤣 🤣 🤣Zima hiyo kitu.
Sio kwamba mmeshikilia sekta ya utalii, nani asiyejua kwamba Tanzania ni kuzuri kuliko kenya? Wakenya wengi maelfu kwa maelfu wanaenda tour SA kuliko wa SA wanaokuja kenya, je Kenya mmeshikilia sekta ya utalii SA? Hell no, ukweli ni kwamba SA ni pazuri kuliko Kenya, kuna sehemu za starehe nyingi kuliko kenya, the same applies to Tanzania, huku kuna sehemu nyingi za ku have fun kuliko kenya na huo ndiyo ukweli unaofanya wakenya wengi kuja mapumzikoni Tanzania, kwnn msiende Somalia, kwann msiende Uganda, kwnn msiende Ethiopia? Why Tanzania?Nani asiejua kwamba tumeshikilia sekta ya utalii Tanzania😎
Event ya $70 million revenue. 🤣🤣🤣.. hawa jamaa ni jokers.Tofauti na hawa mamantilie wa Uganda waliokuja kuhustle kwenye hayo mashilingi yenu nani mwingine kaja?
View attachment 2948383View attachment 2948384
🤣🤣🤣🤣Nani asiejua kwamba tumeshikilia sekta ya utalii Tanzania😎
Hao jamaa maskini wa kutupwa. Watajulia wapi mambo mazuri.Sio kwamba mmeshikilia sekta ya utalii, nani asiyejua kwamba Tanzania ni kuzuri kuliko kenya? Wakenya wengi maelfu kwa maelfu wanaenda tour SA kuliko wa SA wanaokuja kenya, je Kenya mmeshikilia sekta ya utalii SA? Hell no, ukweli ni kwamba SA ni pazuri kuliko Kenya, kuna sehemu za starehe nyingi kuliko kenya, the same applies to Tanzania, huku kuna sehemu nyingi za ku have fun kuliko kenya na huo ndiyo ukweli unaofanya wakenya wengi kuja mapumzikoni Tanzania, kwnn msiende Somalia, kwann msiende Uganda, kwnn msiende Ethiopia? Why Tanzania?
Sisi ndio tumewashikilia hamna pa kwenda mhustle huko nusu ya kifo mlete huku hayo machenji tuwaoneshe matumizi, na hapo bado spana tunawapiga bila kuwaangalia mara 2Nani asiejua kwamba tumeshikilia sekta ya utalii Tanzania😎
Acha ujinga wewe, hizo $70 mil zinakuwaje injected? Wqnajenga hotel au barabara. Usitufanye sisi hatuna akili. The only money you get is from logistics and a few tourists.Direct effects
-24,758 jobs
-shs 3.757 billion in labor income
- Competitors and staff spending sh 1.35 billions on accommodation, transport and food
In- direct effects
-Shs 38 billion in total economic value
-Shs 4.5 billion in free publicity
- 100, 000 live spectators
- 78 million people streaming from 150 countries to add on 886 million annual cumulative WRC audience.
![]()
Supersport is owned by multi choice ambayo HQ yake ni south Africa. Endelea kutapatapa🤣😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇
View attachment 2948353