Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1711635005225.png
 
Kuendesha ma bus ya BRT imewashinda mpaka imebidi waombe usaidizi kutoka kwa kampuni ya Dubai (ENG), yani kitu ambacho kampuni private ya Kenya inaweza kufanya imeishinda serikali ya Tanzania. Alafu utarajie wanaweza kuendesha biashara ngumu kama ya Aviation. Bandari pia nayo imewashinda washaanza kuuza gati moja baada ya nyingine😃😃
IMG_20240328_192659.jpg

 
Back
Top Bottom