Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Finals za AFCON haziwezi kufanyiwa hapa kwa hii slum. 😂 😂 😂

May be an image of text that says 'Umegundua nini, kwenye picha hii? f EastAfricaTV EastAfricaRadio''Umegundua nini, kwenye picha hii? f EastAfricaTV EastAfricaRadio'
Ila inaweza fanyika kwa slum za mathare na karobang
 
🥱😂
Kama zizi la ng'ombe kwenye shamba la ASAS huko Iringa
View attachment 2948009
Nimependa vile umetumia picha ya zamani ya kasarani licha ya video mpya za ukarabati kurushwa humu. Hii inaashiria kwamba unajifariji baada kuona tukiiponda Benjamin makwapa, tena ukatumia ile line yangu ya "zizi la ng'ombe" 🤗
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇 Rudia video bila Maumivu tena ww ndio ulijenga mpaka zikawa stalled??😆😆😆😆


View: https://youtu.be/yKXWnPn9doA?si=q3VhE5dNS-e4bVi6

Video nimewatch yote and everything I said is true. Only two buildings are under construction with other few stalled projects.

Most of the apartments in that video are vacant.
 

Toilet boy sisi tuko busy na international event ambayo inafanyika kenya wewe unabweka na CAF. WRC Ina ripple effect kubwa kwenye uchumi wa Naivasha na kenya ambayo pengine unaweza linganisha na AFCON finals pekee. Magical Kenya nao pia wamepata kazi rahisi manake hii ni free advertisement ambayo Ina shape positive image ya Nchi yetu ughaibuni

View: https://twitter.com/alfredarapketer/status/1773642077466714277?t=RIb6BDW6z8amReQwSl1GeQ&s=19
 
Video nimewatch yote and everything I said is true. Only two buildings are under construction with other few stalled projects.

Most of the apartments in that video are vacant.
Na hii hata 20% ya upanga hajaifikia 🤣🤣🤣
Ww ndio ulijenga hzo project zikawa stalled?? Au ww ndio engineer au ww ndio mmiliki unaongea kama vile mlevi 😅😅

Mm nimeona zaidi ya majengo 15 yanajengwa green nets na bado hapo hajaimaliza upanga 😅😅😅😅😅😅
 
Toilet boy sisi tuko busy na international event ambayo inafanyika kenya wewe unabweka na CAF. WRC Ina ripple effect kubwa kwenye uchumi wa Naivasha na kenya ambayo pengine unaweza linganisha na AFCON finals pekee. Magical Kenya nao pia wamepata kazi rahisi manake hii ni free advertisement ambayo Ina shape positive image ya Nchi yetu ughaibuni

View: https://twitter.com/alfredarapketer/status/1773642077466714277?t=RIb6BDW6z8amReQwSl1GeQ&s=19

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Haya nambie Kenya inaingiza bei gani kwenye hio upuuzi wenu na mm nikupe positive kubwa Sana ya kiuchumi kwenye hii mechi mbili CAF champion

Mamelody pekee wamekuja na mashabiki zaidi ya 400 na hao Sisi tunawatambua kama tourists kwasababu watachukua hoteli, watachukua usafiri, wanataka kwenda kutembea, watalipa Kula,watalipa kuingilia uwanjani, etc

Hapa bado wageni kutoka CAF na viongozi sijakwambia ni wangap

Al ahly na wenyewe wamekuja na mashabiki zao inasemekana ni zaidi ya 250 mpaka 300 watachukua hoteli, watalipa bills za Kula, viingilio uwanjani, usafiri wakuwapeleka anywhere

Hao ni watalii watazamaji mpira na mashabiki zaidi ya 700😅😅😅

Haya tuje kwa team kila team ina watu zaidi ya 70 ( bench la fundi, wachezaji na viongozi) jumla ni watalii 140 ambao watalala kwenye hoteli za gharama, watakula, watatumia usafiri wetu etc


Rwanda wamekuja mashabiki wa arsenal zaidi ya 500 kuja kupata burudani nambie watatumia kiasi gani cha pesa 😅😅👇👇👇

View: https://twitter.com/PKishamba/status/1773365078747664894?t=fsvH8bQS_NGUHvCJ4u4Hgw&s=19






Bado waandishi wa habari na wapiga picha wao kutoka Africa nzima na dunia nzima na, hata wakenya wamekuja wengi wakutosha

View: https://twitter.com/bedjosessien/status/1773349061992558946?t=mibHNrzCdZWwfNvkoe53MQ&s=19
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Haya nambie Kenya unaingiza bei gani kwenye hio upuuzi wenu na mm nikupe positive kubwa Sana ya kiuchumi kwenye hii mechi mbili CAF champion
Safari rally is injecting $70M into Kenyan economy. CAF can’t even give Tanzania $1M.
 
Na hii hata 20% ya upanga hajaifikia 🤣🤣🤣
Ww ndio ulijenga hzo project zikawa stalled?? Au ww ndio engineer au ww ndio mmiliki unaongea kama vile mlevi 😅😅

Mm nimeona zaidi ya majengo 15 yanajengwa green nets na bado hapo hajaimaliza upanga 😅😅😅😅😅😅
Maybe hizo 15 are in your mind. Stupid refugee.
 
Toilet boy sisi tuko busy na international event ambayo inafanyika kenya wewe unabweka na CAF. WRC Ina ripple effect kubwa kwenye uchumi wa Naivasha na kenya ambayo pengine unaweza linganisha na AFCON finals pekee. Magical Kenya nao pia wamepata kazi rahisi manake hii ni free advertisement ambayo Ina shape positive image ya Nchi yetu ughaibuni

View: https://twitter.com/alfredarapketer/status/1773642077466714277?t=RIb6BDW6z8amReQwSl1GeQ&s=19

Wanashangilia village tournaments while Kenya is hosting world championships games.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Haya nambie Kenya unaingiza bei gani kwenye hio upuuzi wenu na mm nikupe positive kubwa Sana ya kiuchumi kwenye hii mechi mbili CAF champion
Direct effects
-24,758 jobs
-shs 3.757 billion in labor income
- Competitors and staff spending sh 1.35 billions on accommodation, transport and food

In- direct effects
-Shs 38 billion in total economic value
-Shs 4.5 billion in free publicity
  • 100, 000 live spectators
  • 78 million people streaming from 150 countries to add on 886 million annual cumulative WRC audience.


 
Back
Top Bottom