buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 3,140
- 6,288
Wanasubiri Turubai la msiba huoni washaweka kambi huko kila siku wanahesabu, sie Arusha hatuna habari nayo, sababu kuu hatujawahi feli kwa miradi ya maana.Kenya mna uwanja wenye hadhi ya Mkapa??
HIlo ni carpet la running track umeona pitch au tukuoneshe??
Huo uwanja ume host mashindano makubwa ya CAF.
Hata CAF kukubali Afcon kuwa hosted East Afrika ni kwasababu ya huo uwanja.
Mna mashindano gani makubwa ya Caf mliwahi host?
Muda huu pale rufiji kuna jitu linaunguruma, na shombo sio vilee.