Huoni tatizo kwa taifa maskini linalotegemea grants (misaada) na mikopo ya shs 5.4T kila mwaka kujaza bajeti kuzamisha ushuru wake wa shs 3.6T kwa biashara ambayo haina faida yeyote kwenye uchumi na mwananchi.Kampuni ambayo bado uwekezaji unaendelea sio Tatizo kubwa, Tatizo liko kwenu wenye ndege tatu chakavu alaf loss iko over 23b ksh kwa zaidi ya miaka 11 munaendesha hasara ikikadiriwa kufika 250b ksh kwa miaka yote ambayo hio pesa unaeza kujenga reli kutoka naivasha mpaka malaba SGR 😂😂😂😂
Wow!… basically Bongolalas are our bitches… never knew that.. I guess we should just call them 254 owned bitches… 🤣🤣🤣🤣90% of Aviation companies in Tanzania ni za wakenya. Hata hiyo ATCL wakilist on stock market wakenya watainunua.
Hii hawalipi parking fees umeitoa wapi!? Lete ushahidi.This airline will never make any profit. Imagine wanatengeneza hasara yet they don’t pay parking fees at any airport within Tanzania contrary to what KQ is doing.
Hamuna habari kwa sababu hamna lolote linalo endelea, wachina walirudi kwao mmebakia na render😄Wanasubiri Turubai la msiba huoni washaweka kambi huko kila siku wanahesabu, sie Arusha hatuna habari nayo, sababu kuu hatujawahi feli kwa miradi ya maana.
Muda huu pale rufiji kuna jitu linaunguruma, na shombo sio vilee.
ATCL is a government owned and your airports are also owned by GOT fully. In short TAA and ATCL is one thing.Hii hawalipi parking fees umeitoa wapi!? Lete ushahidi.
Mchina alisign papers akarudi kwao.Hamuna habari kwa sababu hamna lolote linalo endelea, wachina walirudi kwao mmebakia na render😄
Huo ndo ushahidi wako?? Maneno tu unafikia hapo ukiwa unakula mutura baas!!ATCL is a government owned and your airports are also owned by GOT fully. In short TAA and ATCL is one thing.
We bwege nn lete hapa mmiliki tuone kama ni mkenya.So unataka iwe na registration no. ya Kenya ndio uamini ni Kenyan owned?
Kujeni muone huyu 😂😂😂😂
Which world class event has been held in Tanzanian soil?Hivi AFCON itachezwa kwenye huu uwanja!? Yaani nakwambia uwanja huu umechapa kichizi.
View attachment 2947483
Alaf ndio Ina CAF and FIFA standards ww hushangai 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na hapo bado renovation haijamalizika Yani 2027 mutajua Nani mbabe east africaTena lazima huu uwanja unanukaa kinyesi😂😂
Ndio mama Ngina aliwadanganya hvi??🤣🤣 Kua Tanzania inategemea mikopo na grants na maendeleo yote yanayofanyika kwenye nchi hii, jiandae kisaikolojia keshokutwa B787 dreamliner inawasili hapo VP??Huoni tatizo kwa taifa maskini linalotegemea grants (misaada) na mikopo ya shs 5.4T kila mwaka kujaza bajeti kuzamisha ushuru wake wa shs 3.6T kwa biashara ambayo haina faida yeyote kwenye uchumi na mwananchi.
Aliekudanganya hawalipi fee ni Nani na je TAA watajiendesha vipi kama hawalipwi fee umedanganywa na Nani ww kunguni 🤣🤣🤣🤣 hio TCAA itaendeshwa vipiATCL is a government owned and your airports are also owned by GOT fully. In short TAA and ATCL is one thing.
Standard moja ya FIFA na CAF ni foldable seats, ebu tuonyeshe kiti kimoja cha benjamin makwapa stadium kikiwa kimekunjwa. Hapo ndio utajua kwamba mulifanyiwa hisani manake nyinyi ni LDC ndio maana hata madeni pia mna- samehewea😃 inakuaje azam stadium imekidhi standards hizo😀😀Alaf ndio Ina CAF and FIFA standards ww hushangai 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
The guys is getting both schooled and educated in this forumHii uppercut umemtembezea lazima apotee miezi miwili. Kazi nzuri Sana umefanya manake mimi posts zake huwa sizisomi ndo maana imenipita.
The guys is getting both schooled and educated in this forum
View: https://www.instagram.com/reel/C4VoHgQovSI/?igsh=dmxtaTI0Z2t2OTBo
View: https://www.instagram.com/reel/C2Flh4wom5w/?igsh=NXBreWU2ZHp3OTZl
Unataka nani akuamini zaidi ya nyang'au wenzako?😎Mchina alisign papers akarudi kwao.
Dead airline. Tanzania kuna mashirika ya ndege zaidi ya 100. Precision is dead.Najua ni ignorance uko nayo kwa wingi
Hio ndio maana hujaleta Precision air. Ulijua utachapwa viboko. Shida hukufanya research kujua kwamba Kenyans own your Tanzanian registered aircraft and airline companies 😂
Sit and learn
View attachment 2947495
Si afadhali tu utumie lugha yako kuliko kujifanya unajua sana kizungu cha kukariri?😎😎😁The guys is getting both schooled and educated in this forum...
Kiti ndio kinafanya CAF isitambue Benjamin mkapa stadium akili yako na kondoo zinatofaut gani??🤣🤣🤣🤣🤣🤣Standard moja ya FIFA na CAF ni foldable seats, ebu tuonyeshe kiti kimoja cha benjamin makwapa stadium kikiwa kimekunjwa. Hapo ndio utajua kwamba mulifanyiwa hisani manake nyinyi ni LDC ndio maana hata madeni pia mna- samehewea😃 inakuaje azam stadium imekidhi standards hizo😀😀