Marcelly
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 1,996
- 6,321
Kwani aliekwambia serekali ndio ilikua inaendeshwa hio mradi ni Nani??😂😂😂Kuendesha ma bus ya BRT imewashinda mpaka imebidi waombe usaidizi kutoka kwa kampuni ya Dubai (ENG), yani kitu ambacho kampuni private ya Kenya inaweza kufanya imeishinda serikali ya Tanzania. Alafu utarajie wanaweza kuendesha biashara ngumu kama ya Avation. Bandari pia nayo imewashinda washaanza kuuza gati moja baada ya nyingine😃😃View attachment 2947458
Around TZS 3.6T (KES 180B) has been spent on its revival so far yet the loss has increased by 61%🤣🤣🤣🤣🤣
Haya madudu haya ya mama haya
View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1773294755557900782?t=TTDFGOI78Y9meGUfKlbw4w&s=19
Kuendesha ma bus ya BRT imewashinda mpaka imebidi waombe usaidizi kutoka kwa kampuni ya Dubai (ENG), yani kitu ambacho kampuni private ya Kenya inaweza kufanya imeishinda serikali ya Tanzania. Alafu utarajie wanaweza kuendesha biashara ngumu kama ya Avation. Bandari pia nayo imewashinda washaanza kuuza gati moja baada ya nyingine😃😃View attachment 2947458
Ujamaa Airlines…🤣🤣🤣🤣🤣This airline will never make any profit. Imagine wanatengeneza hasara yet they don’t pay parking fees at any airport within Tanzania contrary to what KQ is doing.
Kampuni ambayo bado uwekezaji unaendelea sio Tatizo kubwa, Tatizo liko kwenu wenye ndege tatu chakavu alaf loss iko over 23b ksh kwa zaidi ya miaka 11 munaendesha hasara ikikadiriwa kufika 250b ksh kwa miaka yote ambayo hio pesa unaeza kujenga reli kutoka naivasha mpaka malaba SGR 😂😂😂😂Around TZS 3.6T (KES 180B) has been spent on its revival so far yet the loss has increased by 61%🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2947462
Na zungumzia uendeshaji wa ma bus wala sio mradi wa Brt. Hakuna kampuni homegrown Tanzania yenye uwezo wakusimamia hizo bus, kwani mko chini kiasi gani?😃😀
Leta ushahidi kua gati moja moja imeuzwa hapo Mombasa kuna mpaka gari za tycoons wa nje ya Kenya na ndani ya Kenya 😂😂Kuendesha ma bus ya BRT imewashinda mpaka imebidi waombe usaidizi kutoka kwa kampuni ya Dubai (ENG), yani kitu ambacho kampuni private ya Kenya inaweza kufanya imeishinda serikali ya Tanzania. Alafu utarajie wanaweza kuendesha biashara ngumu kama ya Avation. Bandari pia nayo imewashinda washaanza kuuza gati moja baada ya nyingine😃😃View attachment 2947458
Leta ushahidi kua gati moja moja imeuzwa unaongea kwa hasira na Wivu , DP world Yuko mpaka marekani achilia mbali Tanzania, hapo Mombasa kuna mpaka gari za tycoons wa nje ya Kenya na ndani ya Kenya 😂😂Kuendesha ma bus ya BRT imewashinda mpaka imebidi waombe usaidizi kutoka kwa kampuni ya Dubai (ENG), yani kitu ambacho kampuni private ya Kenya inaweza kufanya imeishinda serikali ya Tanzania. Alafu utarajie wanaweza kuendesha biashara ngumu kama ya Avation. Bandari pia nayo imewashinda washaanza kuuza gati moja baada ya nyingine😃😃View attachment 2947458
Next atasema KCB Tanzania ni Yao … he will swear K stands for Kagera … atatudanganya it’s owned by same people who own Kagera Sugar…😄😄..Hawa majamaa wana Ushamba na vituko …🤣🤣🤣🤣… ( and am so proud of my Swahili vocabulary…really improved)… 🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂 Tropic Air Kenya just launched in Tanzania i think last year, sasa umekuja kuturingia. That is owned by a Kenyan my friend. Subsidiary of tropic air kenya 😂
Ndio DART ilipewa ni kampuni ya hapa hapa ndani lakini wameshindwa kusimamia mradi vzr SASA tunawapa wenye uwezo wa kusimamiaNa zungumzia uendeshaji wa ma bus wala sio mradi wa Brt. Hakuna kampuni homegrown Tanzania yenye uwezo wakusimamia hizo bus, kwani mko chini kiasi gani?😃😀
90% of Aviation companies in Tanzania ni za wakenya. Hata hiyo ATCL wakilist on stock market wakenya watainunua.Next atasema KCB Tanzania ni Yao … he will swear K stands for Kagera … atatudanganya it’s owned by same people who own Kagera Sugar…😄😄..Hawa majamaa wana Ushamba na vituko …🤣🤣🤣🤣… ( and am so proud of my Swahili vocabulary…really improved)… 🤣🤣
Leta ushahidi mm nifunge ACC SASA hvi 🤣🤣🤣90% of Aviation companies in Tanzania ni za wakenya. Hata hiyo ATCL wakilist on stock market wakenya watainunua.
Duh! Mzee point zako ngoja tu niachane nayo. Maana nyingine zinakuumbuaBroo, tunaongelea shirika la ndege la EAA. Hilo linahusikanaje na influence unayodhania mlikuwa nayo Kusini mwa Afrika? Kwamba mkipea nchi za Southern Africa uhuru shares zenu zinaongezeka ama unamaanisha nini? Reasoning ya upuzi kama hii naexpect itoke kwa wajinga kama Venus Star ama Toilet boy sio kwako.
Huyo ni Mkenya mmoja na sio Wakenya. Mkenya wa kawaida hana shughuli na yanayofanyika Tanzania. Kumbuka kwamba pia media zenu zinapenda kueneza chuki dhidi ya Kenya ndio maana Jamii Forums imechagua kutaja jina la huyo Mkenya na uraia wake wakati hao wengine hawajatajwa. La pili nikisoma kwa media zote kuu duniani hakuna penye huyo Mkenya ametajwa kama kiongozi wa hayo maandamano. Wanaopotosha ulimwengu ni nyinyi, sio sisi.
Hakuna mahali Wakenya wamesema mlima kilimanjaro uko Kenya. Hakuna msanii wenu ambaye tumesema ni wetu. Hapo kwa Olduvai ni mtoto wa Raila Odinga aliyesema ipo Kenya kimakosa na akakikiri ilikuwa juu ya kutojua ila mmeikwamilia kama gundi. Mlima Kilimajaro unaonekana ukiwa Kenya kuanzia Nairobi Hadi Voi. Uko na views nzuri zaidi ukitazamwa ukiwa mbuga ya Amboseli. (Leo hii naenda zangu Amboseli, ukitaka naweza kupigia picha uone.) Picha nyingi za huo mlima zimepigwa Amboseli na zimepigwa na Watalii wasio raia wa Kenya. Hao Watalii walisambaza hizo picha huko kwao na wakasema zimepigwa Amboseli Kenya (Which is true). Kutokana na hilo, wengi walijua Mlima Kilimanjaro uko Kenya ila sio kwa sababu Wakenya wamepotosha. Hapo kwa wasanii ndio kicheko zaidi. Hivi msanii mgani wa Tanzania tuliyesema ni wetu? Kwani sisi hatuna Wasanii wetu tuseme wenu ni wetu? Acha kunifurahisha bro. 🤣 🤣
Uongo gani? Nani anayesema humu nchi yao ina GDP ya $300B wakati ni $84 Billion? Nani humu anasema hatuna uwezo wa kununua gari mpya wakati Kenya ndio the biggest buyers of new cars in East Africa? Nani humu anasema hapati msaada wakatio anapata msaada kila mwaka? Shida yenu sisi tukileta evidence mnasema ni cooked wakati nyinyi mnasema mambo bila hata evidence.
Hizi za kusema nyinyi ndio nchi tajiri duniani ndio zinareflect hali halisi? Hizi za kusema mnatulisha ndio zinareflect hali halisi? Hizi za kusema bandari ya Dar inahandle cargo nyingi kuliko mombasa ndio hali halisi? Hizi za kusema electricity connection yenu iko juu ya yetu ndio hali halisi? Kama kuna watu wanoishi kwa delusions hii Africa ni nyinyi bro.🤣🤣