Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Matatuu boyz hapa mtasubiri sana, tunachezana Rook moves


1711676463660.png
 
Finals za AFCON haziwezi kufanyiwa hapa kwa hii slum. 😂 😂 😂

May be an image of text that says 'Umegundua nini, kwenye picha hii? f EastAfricaTV EastAfricaRadio''Umegundua nini, kwenye picha hii? f EastAfricaTV EastAfricaRadio'
Muone huyu fala analeta picha za kipindi cha Kikwete.
Chang'ombe hakuna nyumba za hivyo uwanja wa Taifa umezungukwa na ofisi za serikali na lounges hakuna nyumba za kuishi eneo hilo.
MUTAKE MUSITAKE CAF imeridhia Afcon kwasababu ya huo uwanja na fainali mtake msitake zitakua Tanzania.
Mkapa stadium ina historia ya michuano ya CAF.
Unaweza nitajia ninyi mliwahi host mashindano yapi ya CAF??
 
L
Muone huyu fala analeta picha za kipindi cha Kikwete.
Chang'ombe hakuna nyumba za hivyo uwanja wa Taifa umezungukwa na ofisi za serikali na lounges hakuna nyumba za kuishi eneo hilo.
MUTAKE MUSITAKE CAF imeridhia Afcon kwasababu ya huo uwanja na fainali mtake msitake zitakua Tanzania.
Mkapa stadium ina historia ya michuano ya CAF.
Unaweza nitajia ninyi mliwahi host mashindano yapi ya CAF??
Eta picha ya kipindi cha Suluhu tuone 😂
 
Huyo Magonjwa Matapiko ananikumbusha jamaa Fulani alikuwa humu alikuwa anaitwa Askari Kanzu. Fala haikuwa na content. Hungeipata imeandika more than one sentence halafu hiyo sentence ni ufala tu.
Sijui mbona on average wengi wako hivo, you can just tell by the few how the general population think like
 
Could someone from the south please show me an equivalent of this middle income neighborhood in Dar?
View: https://youtu.be/P2NgG4WnSrY?si=MsPdqeOt3NKKQVwX

We need to work on the horizontal infrastructure now. The pace at which private sector is developing with is faster than the public sector.

As the private sector takes care of vertical infrastructure the government should fully concentrate on the horizontal. Or else we will have upmarkets like Kilimani, Kileleleshwa and Lavington having beautiful skyline with dilapidated roads, sews lines and poor public transport.
 
Back
Top Bottom