Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa kwanza nilidhani wamesimama kwa mama Ntilie wanunue kumbe inawezekana wamekodi moto tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ zoom itaona wamebeba hadi madude ya ndizi .
Tena for at least 4 hours of negotiations and bargaining ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Citizen Tanzania ni dunia nzima? Show me any European news outlet announcing CAF matches za Tz nitoke JF saa hii.

Safari rally zinafuatwa na kila mtu duniani.
CAF iko chini ya FIFA, CAF inafatiliwaa ulimwenguni kote ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… najua inachoma ila plz vumilia na ndio maana haya ndio mashindano makubwa africa nzima
 
Mtu mwenyewe akiona reaction za twitter zinazowekwa kuhusu Rally na CAF match za Dar unaona ni ipi inafutatiliwa kwa karibu na ipi ina interaction nyingi kwa social media.
 
So hizo gari zimepark hapo zinatumia Maji?

Hawa waganda wamekuja na delivery van wamejazana zaidi ya 30 humo to the tune of more than 500 kilometers journey can prove a lot of how 70 million dollar fallacy is so fake

20240329_163559.jpg
 
Fueling
Accommodatatiion
Meals
Tourism
Car servicing
Etc
MTU katoka malaba anafanya service gani?? Mganda anakula chapati ya mama ntili 20bob na maharage 10bob, anaenda kulala guest ya 100bob a day alaf ndio hio unaleta 70m usd ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ. Unless iwe hesabu ya dukani
 
Mtu mwenyewe akiona reaction za twitter zinazowekwa kuhusu Rally na CAF match za Dar unaona ni ipi inafutatiliwa kwa karibu na ipi ina interaction nyingi kwa social media.
Nimekuambia unionyeshe any European news outlet ikitangaza CAF match ukashindwa.
 
Back
Top Bottom