Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi AFCON itachezwa kwenye huu uwanja!? Yaani nakwambia uwanja huu umechapa kichizi.
Screenshot_2024-03-28-19-59-56-75_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Leta ushahidi kua gati moja moja imeuzwa unaongea kwa hasira na Wivu , DP world Yuko mpaka marekani achilia mbali Tanzania, hapo Mombasa kuna mpaka gari za tycoons wa nje ya Kenya na ndani ya Kenya 😂😂

Joho pekee anamiliki bearth tatu muhimu hapo Mombasa port na hata hakuoni shida😂😂

Joho hana uwezo wakumiliki gati hata moja Mombasa, kitu anachomiliki ni CFS mbili moja iko miritini nyingine ipo nairobi. Kurudia rudia jambo halitalifanya kuwa kweli gati zote Kenya zinamilikiwa na GOk tofauti na tanzania ambayo imeanza kuzipeana kwa kampuni binasfi kutoka Dubai (DP World). Saivi watu wameanza kuchagua Kama wabakie TPA ama waingie DP World



GJWg0dSXYAIZ6ai.jpeg
 
Joho hana uwezo wakumiliki gati hata moja Mombasa, kitu anachomiliki ni CFS mbili moja iko miritini nyingine ipo nairobi. Kurudia rudia jambo halitalifanya kuwa kweli gati zote Kenya zinamilikiwa na GOk tofauti na tanzania ambayo imeanza kuzipeana kwa kampuni binasfi kutoka Dubai (DP World). Saivi watu wameanza kuchagua Kama wabakie TPA ama waingie DP World



View attachment 2947477
What is a problem. Unaumia ukiwa wapi? 🤣 🤣 🤣
 
Joho hana uwezo wakumiliki gati hata moja Mombasa, kitu anachomiliki ni CFS mbili moja iko miritini nyingine ipo nairobi. Kurudia rudia jambo halitalifanya kuwa kweli gati zote Kenya zinamilikiwa na GOk tofauti na tanzania ambayo imeanza kuzipeana kwa kampuni binasfi kutoka Dubai (DP World). Saivi watu wameanza kuchagua Kama wabakie TPA ama waingie DP World



View attachment 2947477
Ndio wanatakiwa wachague ww unataka wafanye nn 🤣🤣🤣 kwani Nani amekwambia gati zote za dar hazimilikiwi na serekali ya Tanzania, tofautisha kuendesha na kumiliki, DP world iko mpaka marekani inaendesha bandari za marekani, Malaysia, Singapore, Egypt etc

Swali ni kwann kachagua dar port na sio Mombasa port , ntakupa homework kaa chini ujiulize Sana alaf aniletee majibu 🤣🤣
 
Najua ni ignorance uko nayo kwa wingi
Hio ndio maana hujaleta Precision air. Ulijua utachapwa viboko. Shida hukufanya research kujua kwamba Kenyans own your Tanzanian registered aircraft and airline companies 😂
Sit and learn
View attachment 2947495
Hii uppercut umemtembezea lazima apotee miezi miwili. Kazi nzuri Sana umefanya manake mimi posts zake huwa sizisomi ndo maana imenipita.
 
Hivi AFCON itachezwa kwenye huu uwanja!? Yaani nakwambia uwanja huu umechapa kichizi.
View attachment 2947483
Kenya mna uwanja wenye hadhi ya Mkapa??
HIlo ni carpet la running track umeona pitch au tukuoneshe??
Huo uwanja ume host mashindano makubwa ya CAF.
Hata CAF kukubali Afcon kuwa hosted East Afrika ni kwasababu ya huo uwanja.

Mna mashindano gani makubwa ya Caf mliwahi host?
 
Back
Top Bottom