Capt Richie
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 790
- 1,691
Hivi AFCON itachezwa kwenye huu uwanja!? Yaani nakwambia uwanja huu umechapa kichizi.
Leta ushahidi kua gati moja moja imeuzwa unaongea kwa hasira na Wivu , DP world Yuko mpaka marekani achilia mbali Tanzania, hapo Mombasa kuna mpaka gari za tycoons wa nje ya Kenya na ndani ya Kenya 😂😂
Joho pekee anamiliki bearth tatu muhimu hapo Mombasa port na hata hakuoni shida😂😂
What is a problem. Unaumia ukiwa wapi? 🤣 🤣 🤣Joho hana uwezo wakumiliki gati hata moja Mombasa, kitu anachomiliki ni CFS mbili moja iko miritini nyingine ipo nairobi. Kurudia rudia jambo halitalifanya kuwa kweli gati zote Kenya zinamilikiwa na GOk tofauti na tanzania ambayo imeanza kuzipeana kwa kampuni binasfi kutoka Dubai (DP World). Saivi watu wameanza kuchagua Kama wabakie TPA ama waingie DP World
View attachment 2947477
Ndio wanatakiwa wachague ww unataka wafanye nn 🤣🤣🤣 kwani Nani amekwambia gati zote za dar hazimilikiwi na serekali ya Tanzania, tofautisha kuendesha na kumiliki, DP world iko mpaka marekani inaendesha bandari za marekani, Malaysia, Singapore, Egypt etcJoho hana uwezo wakumiliki gati hata moja Mombasa, kitu anachomiliki ni CFS mbili moja iko miritini nyingine ipo nairobi. Kurudia rudia jambo halitalifanya kuwa kweli gati zote Kenya zinamilikiwa na GOk tofauti na tanzania ambayo imeanza kuzipeana kwa kampuni binasfi kutoka Dubai (DP World). Saivi watu wameanza kuchagua Kama wabakie TPA ama waingie DP World
View attachment 2947477
"What is a problem" ndo nini?What is a problem. Unaumia ukiwa wapi? 🤣 🤣 🤣
Hii DP world imewaumiza Sana wakenya na ni vile wamechagua dar na sio Mombasa 🤣🤣 Yani hata sielewi hasira zao zinatokana na nnWhat is a problem. Unaumia ukiwa wapi? 🤣 🤣 🤣
Hawa ndio wasomi wa tanzania😃What is a problem. Unaumia ukiwa wapi? 🤣 🤣 🤣
Huu ni uwanja ama zizi la ng'ombe🚮Hivi AFCON itachezwa kwenye huu uwanja!? Yaani nakwambia uwanja huu umechapa kichizi.
View attachment 2947483
Najua ni ignorance uko nayo kwa wingiKwahiyo hakuna registration no ya Kenya? 🤣 🤣 🤣 🤣
Na Ungeweza ona huko kwenye viti. Zizi. Yaani wee ona tu!! Aagh.Huu ni uwanja ama zizi la ng'ombe🚮
Tena lazima huu uwanja unanukaa kinyesi😂😂Hivi AFCON itachezwa kwenye huu uwanja!? Yaani nakwambia uwanja huu umechapa kichizi.
View attachment 2947483
Viti vya Sunday school🤣🤣🤣Na Ungeweza ona huko kwenye viti. Zizi. Yaani wee ona tu!! Aagh.
View attachment 2947496
Hii uppercut umemtembezea lazima apotee miezi miwili. Kazi nzuri Sana umefanya manake mimi posts zake huwa sizisomi ndo maana imenipita.Najua ni ignorance uko nayo kwa wingi
Hio ndio maana hujaleta Precision air. Ulijua utachapwa viboko. Shida hukufanya research kujua kwamba Kenyans own your Tanzanian registered aircraft and airline companies 😂
Sit and learn
View attachment 2947495
Kenya mna uwanja wenye hadhi ya Mkapa??Hivi AFCON itachezwa kwenye huu uwanja!? Yaani nakwambia uwanja huu umechapa kichizi.
View attachment 2947483