ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,469
- 137,027
Kiti ndio kinafanya CAF isitambue Benjamin mkapa stadium akili yako na kondoo zinatofaut gani??🤣🤣🤣🤣🤣🤣Standard moja ya FIFA na CAF ni foldable seats, ebu tuonyeshe kiti kimoja cha benjamin makwapa stadium kikiwa kimekunjwa. Hapo ndio utajua kwamba mulifanyiwa hisani manake nyinyi ni LDC ndio maana hata madeni pia mna- samehewea😃 inakuaje azam stadium imekidhi standards hizo😀😀
Hebu nambie kwann Benjamin mkapa stadium ni FiFA and CAf standards kwann au waliipendelea Tu 😁😁😁😁😁😁😁