Umemaliza mjadala mkuu.Kwa kanda ya ziwa hospitali ya Bugando ndio hospital ya kanda, ni hospital ambayo serikali ina ubia ndani yake, huwezi ukaiweka sawa like other private hospitals. Unazani serikali ni wajinga kiasi cha kuiruhu private hospital iwe zonal hospital bila kufanya kitu!!?
Hili ashaelezwa sana ila hawezi lielewa.
Anaambiwa vingine yeye anashikilia umiliki.
Watu wanatizama mamlaka,serikali ina mamlaka kote Bugando na KCMC.
Mbona haijawa na mamlaka hospital zingine??
Hizo taasisi zipo kama anarchy leader hawafanyi kitu wakisubiri serikali ipange bajeti kuhusu wa.
Still mtu analeta ubishani wa kipumbavu.