Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This American celebrity had an accident that caused a near death experience at Serengeti National Park, but she was airlifted to Nairobi for treatment. She got the best medical care at Agha Khan University Hospital, Nairobi. Mbona hakupelekwa hospitali za bongoslum? 😂 😂 😂


View: https://x.com/anto_ty/status/1768525100670763333?s=20

Muda mwingine just use ur brain , yaan mtu apate ajali serengeti afu umsafirishe kuja dar wakati Nairobi toka serengeti ukifly ni dk 0 tuu .jus use commonsense, au ulitaka wampeleke dar afie njian??
 
Kwa kanda ya ziwa hospitali ya Bugando ndio hospital ya kanda, ni hospital ambayo serikali ina ubia ndani yake, huwezi ukaiweka sawa like other private hospitals. Unazani serikali ni wajinga kiasi cha kuiruhu private hospital iwe zonal hospital bila kufanya kitu!!?
Serikali haina ubia kwenye umiliki Bali uendeshaji! Bugando medical center inamilikiwa 100% na Catholic Church! Serikali ipo kwenye ubia kwavile inahudumia Watanzania zaidi ya 20 millions! Private hospital i naweza kuwa zonal pale panapokuwa Hamna alternative Sehemu husika! Hilo ni suala la huduma za kiafya! Hata Lindi St Walburg Nyagao na Songea St John Peramiho kuna mahospitali makubwa ya Kanisa!

IMG_0114.png
 

Treasury: Kenya has paid $109m of KQ debt​

SATURDAY MARCH 16 2024​



A Kenya Airways plane

Kenya Airways is 48.9 percent owned by the government and a group of 10 local banks which has 38.1 percent shares. PHOTO | FILE | NMG

General Image

By JAMES ANYANZWA
More by this Author

The National Treasury has paid $109 million to the American Eximbank to save Kenya Airways from bankruptcy proceedings after the national carrier defaulted on $841.6 million loan from the Washington-based lender in the 2021/2022 financial year.

KQ took up the loan in 2017 to buy seven planes and an engine, with $525 million being guaranteed by the government.

Outgoing National Treasury chief in-charge of Debt Management, Haron Sirima, told The EastAfrican that the government has paid Eximbank Ksh15.04 billion ($109.36 million) and is ready to fulfil the remaining obligations.

“The Treasury will service the debt as principal instalments and interest payments fall due,” Dr Sirima said.

The National Treasury said in its annual debt management report (2022/2023) that the government paid Ksh12.32 billion ($89.58 million) to Eximbank in the 12 months to June 30, 2023, reducing the debt to Ksh88.22 billion ($641.49 million).

A report by the Controller of Budget shows that in the three months to September 2023, the government paid a further Ksh2.72 billion ($19.78 million), bringing the total payments to Ksh15.04 billion.

As a result, Kenya Airways’ outstanding debt to Eximbank stands at Ksh73.18 billion ($532.13 million).

Treasury Principal Secretary, Chris Kiptoo, told a parliamentary oversight committee on public debt and privatisation in February last year that Eximbank had issued a default notice after Kenya Airways delayed honouring its obligations.

Normally, when a business defaults on a loan, the lender may seize its collateral and/or personal assets to recover the losses.

The KQ loan was a 12-year facility originally provided by Citi Bank and JP Morgan before Pefco took it over, with the US Exim Bank and the Kenyan government joining as guarantors.

KQ, which is a subject of a failed takeover bid by the state, is 48.9 percent owned by the government and a group of 10 local banks which has 38.1 percent shares.

Other shareholders are KLM Royal Dutch Airline (7.8 percent), employees (2.4 percent) and other shareholders at 2.8 percent.

The government has been pushing for the restructuring of the airline under a plan that aims to reduce its network, operate a smaller fleet and possibly reduce its workforce further.

As a result, the airline has focused on restructuring its fleet, including selling aircraft and sub-leasing to other airlines in an attempt to return to profitability.

 
Alaf MTU anakwambia north Korea hawana maendeleo kisa kaaminishwa na western propaganda😁😁😁😁

View: https://twitter.com/Sprinterfactory/status/1769007668608250182?t=BrMNO_vIV6BmIddHoh7WZA&s=19

Really Ichoboy ???.. you fall for choreographed Kim Jong Un propaganda machine ?..… CCM has really messed your mentality guys.. now I agree your moniker should be Toilet boy…. Maybe you should relocate to North Korea .. I hear the weather is great at this time of the year..🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kutoka serengeti mpaka dar na kutoka serengeti mpaka Nairobi wapi mbali??
Just use common sense..
Wacha ujinga… your distance and border excuses won’t work with us… even if she was hurt at Lungs Lunga on the Tanzanian side , she would still have been flown to Nairobi for specialized treatment….just like Mangufuli And Lunga Lunga to closer in Dar..😂😂😂
 
Really Ichoboy ???.. you fall for choreographed Kim Jong Un propaganda machine ?..… CCM has really messed your mentality guys.. now I agree your moniker should be Toilet boy…. Maybe you should relocate to North Korea .. I hear the weather is great at this time of the year..🤣🤣🤣🤣🤣
So you think Kenya is better than North Korea, a nuclear power!!!
 
Achana nao hao, haina haja yakubishana na MTU anakua kubwa jinga tunaongea mambo ya msingi anaanza kuleta udini SASA Huyo mtu hawez kua na akili timamu

Na kuna baadhi ya majengo hapo KCMC yamejengwa na serekali na bado kuna budget ya wizara KCMC ipo na issue yake ni kama bugando Tu

Achana nao utapoteza muda wako kumbuka Tu wajinga pia huzeeka 🤣🤣🤣
Wewe ni mdini na kinachokusumbua ni kuona serikali kuingia makubaliano ya ku-support uendeshaji kwa njia ya mishahara! Kwa akili yako fupi Hilo linaipa umiliki wa zile Taasisi! Kwa Taarifa yako serikali inafanya hivyo kuwezesha gharama ya huduma kuwa chini kwavile zinahudumia watu wengi na serikali haina mbadala wake kwenye hizo kanda! Yaani hospitali zenye hadhi kama hizo maeneo hayo! BTW MELINDA GATES wanatoa support kubwa KCMC na mbona hawaimiliki?
 
Back
Top Bottom