Huyo achana naye mkuu.Usinambie serekali haina ushirika KCMC 😂
How can it be private bado kuna ruzuku za serekali zinaenda hapo na bado kuna ushirika wa serekali?? How can private hospital ikawa na ushirika na serekali tena mpaka kwenye budget kuu ya wizara na yenyewe ipo
Mm au ww Nani asiejua ???😂😂😂😂
View attachment 2936558
Atakupasua kichwa aisee hii mada ife mkuu tutizame pengine.