Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimeshawai kuja. kwanza pale kariakoo
Nilishangaa kuona barabara kama haya Kariakoo yani town. Alafu watu Dar ni wengi ajabu, traffic is crazy, but I enjoyed my time. It’s a nice coastal city
View attachment 2936968View attachment 2936970
Wacha kujifanya eti ulishangaa kuona mababara kama haya mzee 😂😂😂 first of all hii sio Kariakoo, hii picha umepiga Ilala BOMA kwenye junction ya karume ambapo kuna ujenzi wa BRT junction ulikua unaendelea, kwasasa ujenzi umeshaisha njoo tena ujionee, sema ukweli mzee wacha kuongea uongo 😂😂😂😂Eti "nilishangaa kuona barabara kama haya" 😂😂😂
 
Umemaliza mjadala mkuu.
Hili ashaelezwa sana ila hawezi lielewa.
Anaambiwa vingine yeye anashikilia umiliki.
Watu wanatizama mamlaka,serikali ina mamlaka kote Bugando na KCMC.
Mbona haijawa na mamlaka hospital zingine??
Hizo taasisi zipo kama anarchy leader hawafanyi kitu wakisubiri serikali ipange bajeti kuhusu wa.
Still mtu analeta ubishani wa kipumbavu.
Serikali haina mamlaka pale ndo maana zinaongozwa na baraza la maaskofu! Zaidi ya ku-subsidize uendeshaji na Haimiliki zile hospitali msipotoshe! Na ndo maana inazitambua kama hospitali binafsi na ilizitaifisha na kuzirudisha baada ya kushindwa kuziendesha!

Na ndo maana TCU huwa ina-moderate Taasisi zake za elimu kama vyuo binafsi! Wewe ndo mpumbavu nyoko wewe! Kitu kimeandikwa Wazi kabisa nani mmiliki lakini nyoko mnabisha! Hospitali za serikali zinajulikana Mwl Nyerere Memorial, Mtwara, Chato, Mkapa n.k. Wakati Bugando, John Peramiho, st Walburg Nyagao, CCBRT na KCMC sio za serikali!
 
Serikali haina mamlaka pale! Haimiliki zile hospitali msipotoshe!
Kwa fikra zako kuwa na mamlaka mpaka umiliki kitu??
Kwahiyo usipomiliki kitu hauna mamlaka nacho??
Kwani mamlaka yanakuwepo mpaka kuwa na umiliki tu??
Kama serikali haina mamlaka kwanini wizara ya afya ndio inaiendesha hiyo hospitali??
Kwanini haikuchagua kuendesha hospitali zingine hapo Moshi kiruzuku na kimishahara?
 
Nice dance video by Kenyan Yungins …. We appreciate good music… no hating like our southern crazy neighbors… 🤣🤣🤣
Kwenye music kunyan mkubali tu hamtuwezi,eti tunawachukia shwain,mna chuki mbaya na TZ kwa kila kitu hata kwenye music ndio maana mnahasishana mpende music wa kwenu but hamjui kuimba,mtadance sana nyimbo zetu
 
Kwa fikra zako kuwa na mamlaka mpaka umiliki kitu??
Kwahiyo usipomiliki kitu hauna mamlaka nacho??
Kwani mamlaka yanakuwepo mpaka kuwa na umiliki tu??
Kama serikali haina mamlaka kwanini wizara ya afya ndio inaiendesha hiyo hospotali??
Hospitali unazobishia zinaongozwa na Baraza la Maaskofu, wewe unabisha kama si unyoko ni nini? Mbona zisiwe chini ya Wizara kama Muhimbili? AU hospitali nyingine za serikali?
 
Hapo kwenye board of governors kuna kuanzia 3 - 5 kuna kina nani kama board members??
Embu tusomee tusikie.
Naona kuna mjadala mrefu kuhusu KCMC.
KCMC ni private hospital ambayo Evangelical Lutheran Church (ELCT) of Tanzania wana makubaliano ya Memorandum of Understating with the Government of Tanzania through the Ministry of health and Social Welfare (MoHSW).

Hatujui wamekubaliana vip, waweza kuta wameeleza baada ya miaka 50, hospital itabinafsishwa... au ELCT waomba serikali iwasupport ila baada ya mda watalipa madeni yote.. yan investment yote serikali iliyoinvest kwa budgets zilizopitishwa na Board yao, ELCT watazirudisha.. so kiufup KCMC ni private hospital ambayo serikali inasupport.. lkn kuna namna kutokana na investment au support baadae baada ya mda, hii KCMC itamilikiwa na upande mmoja btn ELCL au serikali kulingana walivyokubaliana kwenye MOU.
Investment ya serikali maskin kwenye hii hospital sio wa bure hata kidogo
View attachment 2936921

Kuhusu board members. Wapo 9.
Most times, board of governors (BoG) ndo haohao wa trustees (BoT)
  • 4 kutoka serikalili
  • 5 kutoka kanisani
Hawa wanne wa serikali wapo kimkakati, wote ni wateuliwa wa Rais, hawapo burebure, hasahasa huyo wa kutoka wizara ya fedha
View attachment 2936920
 
Umemaliza mjadala mkuu.
Hili ashaelezwa sana ila hawezi lielewa.
Anaambiwa vingine yeye anashikilia umiliki.
Watu wanatizama mamlaka,serikali ina mamlaka kote Bugando na KCMC.
Mbona haijawa na mamlaka hospital zingine??
Hizo taasisi zipo kama anarchy leader hawafanyi kitu wakisubiri serikali ipange bajeti kuhusu wa.
Still mtu analeta ubishani wa kipumbavu.
Achaneni nae naona kashaenda mbali kwenye udini sasa 😁😁😁😁 Yani jamaa wakat mwengine sijui anaakili gani, anapenda Sana kuleta Mada chonganishi za udini na ukabila na ukija kutizama umri wake hafanani na mawazo hayo
 
Kitu usichokijua we mnuka mavi Tz Safar ya DAR-Moro ambayo nadhani ndio safari fupi Zaidi watu wanapanda buses za viwango unlike you poor people of kunyan republic mnaosafiri na vipanya. Sisi sio nyinyi msifosi tufanane
Kipanya kinasafiri from Nairobi to Kisumu just imagine 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wacha kujifanya eti ulishangaa kuona mababara kama haya mzee 😂😂😂 first of all hii sio Kariakoo, hii picha umepiga Ilala BOMA kwenye junction ya karume ambapo kuna ujenzi wa BRT junction ulikua unaendelea, kwasasa ujenzi umeshaisha njoo tena ujionee, sema ukweli mzee wacha kuongea uongo 😂😂😂😂Eti "nilishangaa kuona barabara kama haya" 😂😂😂
Hii hapa muoneshe plz🤣🤣🤣🤣
Screenshots_2024-01-11-17-49-38.png
Screenshots_2024-01-11-17-49-17.png
 
Nimeshawai kuja. kwanza pale kariakoo
Nilishangaa kuona barabara kama haya Kariakoo yani town. Alafu watu Dar ni wengi ajabu, traffic is crazy, but I enjoyed my time. It’s a nice coastal city
View attachment 2936968View attachment 2936970View attachment 2936989

View attachment 2936991View attachment 2936993View attachment 2936995View attachment 2936997
👇👇👇👇👇👇 Ulipiga kipindi cha ujenzi
 
Back
Top Bottom