Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hio sio KAZI yangu ila navojua mm serekali ina ubia kwenye hospital hio na 1971 ilichukua hio hospital na baadae wakarudishiwa kanisa ila still bado serekali inamkono wake na pia bado inatazamwa na serekali na inapangiwa budget na wizara
Wacha tuongezee nyama ili wajue hiyo hospitali imetokea wapi.
Ingekua ina full private ownership isingepewa ruzuku kila mwezi ya kuiendesha toka wizara ya afya takriban 1 billion tzsh na serikali isingekua inalipa mishahara wafanyakazi wa KCMC.
Mbona hilo halifanyika private hospitals zingine za huko Kilimanjaro??
Screenshot_2024-03-16-19-50-41-04_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-03-16-19-51-17-69_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Wacha tuongezee nyama ili wajue hiyo hospitali imetokea wapi.
Ingekua ina full private ownership isingepewa ruzuku kila mwezi ya kuiendesha toka wizara ya afya takriban 1 billion tzsh na serikali isingekua inalipa mishahara wafanyakazi wa KCMC.
Mbona hilo halifanyika private hospitals zingine za huko Kilimanjaro??
View attachment 2936719View attachment 2936720
Achana nao hao, haina haja yakubishana na MTU anakua kubwa jinga tunaongea mambo ya msingi anaanza kuleta udini SASA Huyo mtu hawez kua na akili timamu

Na kuna baadhi ya majengo hapo KCMC yamejengwa na serekali na bado kuna budget ya wizara KCMC ipo na issue yake ni kama bugando Tu

Achana nao utapoteza muda wako kumbuka Tu wajinga pia huzeeka 🤣🤣🤣
 
Najaribu kukuonesha kua bado serekali inaubia mkubwa na hio hospital na ndio maana hata kwenye budget ya wizara hio hopital IPO SASA ondoa mawazo kudanganya watu kua serekali haihusiki kwenye hospital hio ondoa hio uchafu🤣
Mkuu unapigia mbuzi gitaa.
Akati Nyerere ndiye aliyetoa wito wa kujengwa hiyo hospital.
Mbona serikali haitii mikono hospital zingine za kidini ama za kibinafsi?
 

Usafiri Dar es salaam bado hautoshelezi.
Yani kuna maeneo kama Kitunda ndio kabisaa bado.
Dar usafiri bado changamoto unahitaji kuongezwa ili uendane na idadi husika ya watu.

 
Wacha tuongezee nyama ili wajue hiyo hospitali imetokea wapi.
Ingekua ina full private ownership isingepewa ruzuku kila mwezi ya kuiendesha toka wizara ya afya takriban 1 billion tzsh na serikali isingekua inalipa mishahara wafanyakazi wa KCMC.
Mbona hilo halifanyika private hospitals zingine za huko Kilimanjaro??
View attachment 2936719View attachment 2936720
Agreeing to Operation Costs doesn’t mean GOT owns the hospital!
 
Najaribu kukuonesha kua bado serekali inaubia mkubwa na hio hospital na ndio maana hata kwenye budget ya wizara hio hopital IPO SASA ondoa mawazo kudanganya watu kua serekali haihusiki kwenye hospital hio ondoa hio uchafu🤣
Serikali inatambua ni private hospital. Accept and move on.
 
Dude I didn't say government owns the hospital but I do mean that government has authority on that hospital based on the running cost and historical facts of establishment of that hospital.
Case closed bro.
Ova.
What authority? Hiyo board membership ni 4 ETC to 3 GOT! Management ya ile hospitali ni tofauti kabisa na government owned!
 
What authority? Hiyo board membership ni 4 ETC to 3 GOT! Management ya ile hospitali ni tofauti kabisa na government owned!
Unaelewa nini maana ya authority??
Nani anaeiendesha KCMC in running costs na mishahara??
Tuanzie hapo.
 
Back
Top Bottom