ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Sio mchezo bro na sio kujitosheleza Tu wako mbali Sana mpaka kwenye technology na kila Aina modern infrastructureJamaa wamejitosheleza kila sekta.
Sio mchezo bro na sio kujitosheleza Tu wako mbali Sana mpaka kwenye technology na kila Aina modern infrastructureJamaa wamejitosheleza kila sekta.
Hii stori ya Magufuli kulazwa kenya iishie hapa leo.
View: https://youtu.be/9Hyg_T0yb-8?si=dsF_mBOEB62NEQBW
Thanks for confirming you are a one city country. 😂 😂 😂 Kila kitu ni Muhimbili tu.Muda mwingine just use ur brain , yaan mtu apate ajali serengeti afu umsafirishe kuja dar wakati Nairobi toka serengeti ukifly ni dk 0 tuu .jus use commonsense, au ulitaka wampeleke dar afie njian??
Tanzania kuna hospitali moja pekee.Thanks for confirming you are a one city country. 😂 😂 😂 Kila kitu ni Muhimbili tu.
Kunyaland haina order ni ghetto state ndio maana mawazo yao yapo hivyo, Rais ni taasisi kubwa sana eti wanasema alikua airlifted to Kunyaland kama hivi 😂😂😂Inachekesha, yaani wanachukulia Raisi kama mgonjwa mdogo, life threatening situation Raisi awe nchi jirani?
Si nchi inaingia kwenye hali ya hatari, sense of security ya nchi inapotea.
Hao wapuuzi wanachukulia kirahisi rahisi.
General Mabeyo kamwaga Siri,Kuna watu wa genge lile eti walijifanya eti wamesahau Katiba 🤣🤣🤣🤣
View: https://www.instagram.com/p/C4m9n-0N7Ar/?igsh=Mzd1M2dpNDA2MGpy
Hata hivyo SSH ni muungwana sana vinginevyo watu walitakiwa waone Kila aina ya rangi.Wewe hujui hukusikia aliongelea Amrati. Unajua ni akina nani walikuwa wanataka kumdhoofisha Rais? Ni watu wa dini yake.
Mabeyo ni Msukuma.
Kuna mchezo ulikuwa unachezwa na watu kadhaa (Jina).Hata hivyo SSH ni muungwana sana vinginevyo watu walitakiwa waone Kila aina ya rangi.
Tunashukuru mkuu kwa kuja, hapo panaonekana kama Machinga Complex vile, kulikua na ujenzi wa BRT ya mbagala inayounganisha magomeni, baadhi ya barabara zilikwatuliwa.Nimeshawai kuja. kwanza pale kariakoo
Nilishangaa kuona barabara kama haya Kariakoo yani town. Alafu watu Dar ni wengi ajabu, traffic is crazy, but I enjoyed my time. It’s a nice coastal city
View attachment 2936968View attachment 2936970View attachment 2936989
View attachment 2936991View attachment 2936993View attachment 2936995View attachment 2936997
Residential buildingWhat about the other half twin tower that is fully lit yet it's also office building?