ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,413
- 85,225
Dom
Watakuja kukuambia unavaa jeans inayobana juu wamezoea kuvaa kama wazee. "Gashagua style" 😂😂😂Naona umenitafuta jirani 😎😎😎Nairobi huwa tunakuja kwa kulazimishwa na ni sababu za kikazi siwez acha kwenda mwanza kula sangara na sato nije kula chapo Nai 😎 and talking about madem wenu bongo tuna pisi za uhakika 🤓
Tuki post madem zetu humu na wake zetu mtakimbia 😎
Na kwa taarifa yako niko mbali hukoooo…. Nakula bata acha nikuekee na tu photos 😎maana nyie hodari wa kupinga kila kitu
wengine tuki post mambo yetu binafsi humu ndani mtakimbia tena acha tuwa enjoy tu 😎
View attachment 2932702View attachment 2932703View attachment 2932704View attachment 2932705View attachment 2932706View attachment 2932707
Haiti wajiandae maana wamechukua genge la uhalifu kutoka Kunyaland badala ya kuchukua Polisi kwenye Nchi hizi hapa 👇
View: https://www.instagram.com/p/C4aYz8MIQhL/?igsh=MWp2M3N0c2RsNTQwZQ==
Kama Al Shabaab au Boko Haram 😆😆P
Police from Kenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣medieval warriors 🤣🤣🤣🤣🤣👇👇View attachment 2932718View attachment 2932720View attachment 2932721
Bora hata al shabaab na Boko Haram Sasa haya mangao ya chuma na kofia unaeza dhani ni wanajeshi wa roman empire 🤣🤣🤣🤣🤣Kama Al Shabaab au Boko Haram 😆😆
Miso misondo style 😂😂😂😂😂😂Watakuja kukuambia unavaa jeans inayobana juu wamezoea kuvaa kama wazee. "Gashagua style" 😂😂😂
Hakuna mahali nimejiongelea mimi kwenye kile nilichao andika.Serious Hata Kama unamchukia mtu si kihovyo! Makamba alikuwa speechwriter wa Kikwete! Nina uhakika wewe huwezi kuandika kurasa kwa Kiingereza bila kukosea Kama mwendazake na PHD ya mchongo ya UDSM! Tena wewe Hata paragraph hutoboi!
Makamba:
Fellowship. After his time with the Carter Cente
2013 Archbishop Desmond Tutu Leadership Fellow
Bachelors degree in Peace Studies at St John's University, Minnesota
MSc in Conflict Analysis and Resolution at George Mason University, Virginia
Lower income residential area.? 😂😂😂 Fala kweli,hiyo ni Nakuru City center, wacha kujitoa akiliA lower income residential estate in Nakuru ikona straight streets and tarmacked roads unai compare na mbeya an unplanned town with no tarmacked roads or straight streets. 😂 😂 😂
huyo lamamayee ajulie wapi hapo ungekuta kavaa viatu vya kwenye barafu wakati hamna barafu watanzania tunaishi mbele ya muda hapa east africaBro unajua kupangilia codes lamamayeeee.
Unajua kuvaa.
Suti za gikomba na kamukunji. 😂😂😂Miso misondo style 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂🤣😂Suti za gikomba na kamukunji. 😂😂😂
Tatizo la huyo mwana hata yeye ni boya ndio maana hawezi ku-identify boya from mtu mwenye akili. Sisi tunaanza form one tukiwa na uwezo wa kuandika na kuongea a concise, well-organized, and grammatically accurate sentence. Wakati hakuna na huwezi mkuta mtu toka shule za serikali ama shule za kiboya kama Forest Hill anauwezo huo.Kuandika kiingereza siyo kuwa na akili, huyo jamaa ni boya hata umsafishe vipi, na wewe unalijuwa hilo. Hizo degrees za liberal arts Marekani wala siyo ishu, hata ukiwa zuzu unafaulu. Unachotakiwa ni kulipa ada, kuhudhuria madarasa na kumaliza assignments, basi.
Hivi Hawa Si ndo wanajeshi wao Si ndo wale wanajiangukia tu kwenye mapick up bila sababu?Watakuambia hii picha ni ya enzi za mwai kibaki,sad Kenya wanawakataa wanajeshi wao🤣🤣🤣🤣huu ndio muonekano wa regural soldiers wa Kenya acheni kujikataa🤣🤣🤣🤣👇👇View attachment 2932551🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2932548View attachment 2932550View attachment 2932552
mmmmh sidhani 😂😂na kama yupo ni kati ya 1%😅😅acha tuendelee kuwa enjoy broHumu kuna mkunya kweli anaweza ku-afford suti ya maana au viatu vya maana! 😂😂😂