Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Mwambie without Kenyans hata hawangejua kwamba Magufuli died.Magufuli na Tundu Lissu. Wewe pia ungeweza kuafford ungekuja tu.
Mwambie without Kenyans hata hawangejua kwamba Magufuli died.Magufuli na Tundu Lissu. Wewe pia ungeweza kuafford ungekuja tu.
Everyday AMREF is airlifting patients from Tanzania to Kenya yet wako hapa wanapiga kelele.
Apate wapi. Huku Kenya Watanzania wanaojiweza ndio huafford kukuja, iwe shule ama hospitali. 🤣 🤣Umesema pesa ya kuja Kenya ndio hana?😂😂
FactsApate wapi. Huku Kenya Watanzania wanaojiweza ndio huafford kukuja, iwe shule ama hospitali. 🤣 🤣
😂 😂 😂 Hospitali zenu za mkoa zinafanya spinal surgery?
View: https://x.com/KBCChannel1/status/1568942279942983681?s=20
Hakuna stress kama kule na pesa ipo.Msigwa kanenepa, kweli urefu wa kamba umeongezeka.
😂 😂 😂 Hospitali zenu za mkoa zinafanya spinal surgery?
View: https://x.com/KBCChannel1/status/1568942279942983681?s=20
Unajiumiza mwenyewe,yan mtu aumie kwa render!😀Hakuna kitu huumiza Wadanganyika kama ukipost Talanta Stadium.🤣🤣🤣
Achna na hiyo habari ya mjini ni 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇Hata mambo ya Bone Marrow wamejua tu juzi after Kenya ishaifanya for sometime.
Then why have you replied to his comment if you aren't pained?Unajiumiza mwenyewe,yan mtu aumie kwa render!😀
Weka ushahidi. Najua kabisa huna😎😎😎Magufuli si alikuja kutibiwa Kenya?...
Wewe ndio ulikuwa unamtibu? Angeweza kwenda hata Malawi kuliko KenyaMagufuli si alikuja kutibiwa Kenya?
Tundu Lissu si alikuja kutibiwa Kenya?
So kila post unayoreply inakua inakuumiza,binafsi namuona mshamba tu maana iko anachokishupalia TZ tayari tunacho na kuna stadium 2 zitajengwa,uoni kama ni ushamba umeagiza kipaso hata akijatoka japan unaanza kumtambia mmiliki wa crown eti na ww umeagiza gari!kunyan acheni ushambaThen why have you replied to his comment if you aren't pained?