Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asa haya ndio twayataka.
Ujenzi wa Viwanda unaoendelea maeneo mbalimbali ya Nchi ni mkubwa kuliko wakati mwingine wowote achana na hiki Cha Serikali namaanisha kutoka private sector.

Weekend hii nitaleta picha za kiwanda Cha Bil.600 plus Cha Vinywaji baridi Mjini Sumbawanga.
 
Ujenzi wa Viwanda unaoendelea maeneo mbalimbali ya Nchi ni mkubwa kuliko wakati mwingine wowote achana na hiki Cha Serikali yaani private sector.

Weekend hii nitaleta picha za kiwanda Cha Bil.600 plus Cha Vinywaji baridi Mjini Sumbawanga.
Hilo ndilo tunalitaka.
Angalau kero ya umeme imeanza kupungua sasa ije kero ya sukari.
Japo asa hivi kidogo sukari imeshuka robo 900 tofauti mwanzo robo ilikua 1300.
 
Hilo ndilo tunalitaka.
Angalau kero ya umeme imeanza kupungua sasa ije kero ya sukari.
Japo asa hivi kidogo sukari imeshuka robo 900 tofauti mwanzo robo ilikua 1300.
Kero ya sukari iliisha kitambo.Pili hakuna Nchi isiyo na kero hapa Duniani so long as cycle ya maisha inaendelea.Huko Germany madaktaro wamegoma.

Mwisho the most important ni kundeal na kero zinapoibuka na kuzizuoa kadiri inavyowezdkana ila kutegemea zitamaliza haiwezi tokea labda siku maisha yakikoma.
 
A lower income residential estate in Nakuru ikona straight streets and tarmacked roads unai compare na mbeya an unplanned town with no tarmacked roads or straight streets. 😂 😂 😂
zingine unaachana tu nazo bro....tukiweka anything ya Tanzania town just outside cbd itakuwa child abuse.Just ignore that he posted anything
 
FB_IMG_1710233365262.jpg

napita tu
 
Ila huyo watchman ako desperate sana, yani anaongelea kukuoa? Interestingly ako humu kila siku akitusi mademu wakenya hawana sura kumbe ni sungura kashinda kufikia mizabibu kasema ni chungu. 🤣 🤣

Huyo Shebby01 naye ako huku Nairobi anashare picha za mazingira mabovu kumbe ni huko ndiko anakowezana maanake mademu wa Kilimani, Kileleshwa, Langata et al hawawezi? Hawa majamaa wako desperate sana. 🤣
Naona umenitafuta jirani 😎😎😎Nairobi huwa tunakuja kwa kulazimishwa na ni sababu za kikazi siwez acha kwenda mwanza kula sangara na sato nije kula chapo Nai 😎 and talking about madem wenu bongo tuna pisi za uhakika 🤓
Tuki post madem zetu humu na wake zetu mtakimbia 😎
Na kwa taarifa yako niko mbali hukoooo…. Nakula bata acha nikuekee na tu photos 😎maana nyie hodari wa kupinga kila kitu
wengine tuki post mambo yetu binafsi humu ndani mtakimbia tena acha tuwa enjoy tu 😎

d8a4c71f-3d53-43a8-893d-26b1a397626a.jpeg
IMG_8023.jpeg
IMG_8026.jpeg
IMG_8100.jpeg
IMG_8186.jpeg
IMG_8247.jpeg
 
Naona umenitafuta jirani 😎😎😎Nairobi huwa tunakuja kwa kulazimishwa na ni sababu za kikazi siwez acha kwenda mwanza kula sangara na sato nije kula chapo Nai 😎 and talking about madem wenu bongo tuna pisi za uhakika 🤓
Tuki post madem zetu humu na wake zetu mtakimbia 😎
Na kwa taarifa yako niko mbali hukoooo…. Nakula bata acha nikuekee na tu photos 😎maana nyie hodari wa kupinga kila kitu
wengine tuki post mambo yetu binafsi humu ndani mtakimbia tena acha tuwa enjoy tu 😎

View attachment 2932702View attachment 2932703View attachment 2932704View attachment 2932705View attachment 2932706View attachment 2932707
Bro unajua kupangilia codes lamamayeeee.
Unajua kuvaa.
 
Wala usihangaike sana kuhusu viatu brand nilizovaa zinajulikana my brother, Air force ni 55k Tz money, Anta ni 50k, halafu kuhusu viatu wakati nasoma nilikua nikivaa brands tofauti hii hapa ilikua ni sehemu yangu ya kuekea viatu 👇View attachment 2909773more than ten pairs of shoes. 🤣🤣🤣 Wakati nikiwa shule nilikua naishi better than how you living right now
😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom