Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa ww ndugu yangu tangia tuanze huu izi ulisha ona Kundustan kapost vitu kama hivo kwa ajili ya kilimo mkenya mkweli tu hum ni Mk54 yeye alikuwa anakubali anasema Kabisa Kenya 0 Tanzania 10
kaika wakenya nliowakubali huku ni yule jamaa ndiomaana sasa hivi hashindi hili jukwaa yupo international kule anawasagia hamas kunguni huku wanamwangusha utoto mwingi na hii mada ilianzishwa kwa lengo zuri tu.
 
Alishawahi sema kuhusu stand za mabasi
Tanzania 10 Kenya 0
Usalama wa chakula
Tanzania 10 Kenya 0
Wambie hao punda wakuonyeshe naipori stand kama wakileta nipo pale nasubiria
kaika wakenya nliowakubali huku ni yule jamaa ndiomaana sasa hivi hashindi hili jukwaa yupo international kule anawasagia hamas kunguni huku wanamwangusha utoto mwingi na hii mada ilianzishwa kwa lengo zuri tu.
 
Tatizo la huyo mwana hata yeye ni boya ndio maana hawezi ku-identify boya from mtu mwenye akili. Sisi tunaanza form one tukiwa na uwezo wa kuandika na kuongea a concise, well-organized, and grammatically accurate sentence. Wakati hakuna na huwezi mkuta mtu toka shule za serikali ama shule za kiboya kama Forest Hill anauwezo huo.

Kingereza kipi cha Makamba alichoanzia kujifunza USA?
Sasa hivi Forest hill ishanunuliwa na waarabu mkuu.
 
Halafu mtu amepost that Kenyans pass through Tanzania on their way to SA Sio eti Tanzania Ni destination yao, yeye anachukulia kama competition Sasa anajaribu kuprove eti Watanzania wanaenda SA kuliko Wakenya. Yani mtu akwambie 'mimi hunywa chai kila siku' wewe unajibu, 'Sasa chai ni kitu cha kuringa nacho, mimi hunywa mitungi mbili ya chai daily na siongei'. Alafu unaambiwa hujaelewa bado unaendelea kupost picha ukinywa chai. Huyu mtu anaitaji usaidizi.🤣🤣🤣
Sio kama Tanzania ni destination yao???? Then booooom 😂😂😂😂

IMG_20231231_135535.jpg
 
Sure, many Kenyans have done Nairobi to Cape Town road trip. The dumbass can't understand, that's why he is comparing what you posted to public transport.
Usichojua ni kwamba Tanzania ni moja ya source kubwa sana ya utalii SA just listen to Tanzania radios kila second utasikia tangazo la SA tourism, billboards na ads kibao actually wana mpaka x page dedicated to Tanzania marketing only

Screenshot_20240312-183235.jpg
 
Back
Top Bottom