Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂😂 The difference is wild

Screenshot_20240219-160025.jpg
Screenshot_20240220-061152.jpg
 
Asante kwa kushare hii tweet. Huwa mnashinda mkishare picha moja humu Kenya ikipokea msaada from Qatar eti nchi ya jangwa inatulisha. Jiangalieni nyinyi sasa. Mnalishwa na kanchi kadogo tena kajangwani. Njaa mbaya sana.
Unajua majanga waliyowapata watu wa hanang laiti kama ingekuwa Kenya mngeipa promo ya kufa mtu wanasiasa wenu wangekopea mikopo na kuombea misaada kwa miaka 30 kwa kisingizio kuwa athari zake hazijaisha maana mpaka Leo mnaomba misaada kwa kisingizio Cha ukame lakini mnapata mafuriko Kila mwaka na Bado nayo mnaombea misaada
 
Dah kumbe nilikua napoteza muda kubishana na hii mbwa kachoka 👇View attachment 2909474bishoo kaning'iniza headphones za elfu tatu Kariakoo 🤣🤣🤣🤣. Kuanzia uvaaji and everything wewe huwezi hata kuwa kwenye kampani zangu wew kima
Thanks for accepting that your level is when I was in campus.


Wewe unaezashindana tu na my student self. Ebu tuonyeshe picha zako hukiwa student kama unajiamini.
 
Wakundustan hamjui kujenga hamjui kuweka tiles, hamjui roofings, hamjui gypsum, hamjui landscaping, hamjui fencing, hamjui finishing ya aina yoyote

Typical average Tanzanias house

View attachment 2908676


High-end Kunyaland mansion

View attachment 2908675
Screenshot_20240219-104215_Facebook.jpg
Screenshot_20240219-103902_Facebook.jpg
Screenshot_20240219-103721_Facebook.jpg

Kunyan wengi wanaojitambua na wenye pesa sasa hivi uchukua mafundi Tanzania,huyu jamaa kwenye picha amenijengea nyumba 2 ya 3 ya mdogo wangu,kwa sasa amepanda gharama na muda mwingi yupo kunyaland na si yeye tu,kunyan wengi pia now wanafanyia renovation ugly mijengo yao kupitia mafundi wa TZ
 
Dah kumbe nilikua napoteza muda kubishana na hii mbwa kachoka 👇View attachment 2909474bishoo kaning'iniza headphones za elfu tatu Kariakoo 🤣🤣🤣🤣. Kuanzia uvaaji and everything wewe huwezi hata kuwa kwenye kampani zangu wew kima
Singlendi si huwa inavaliwa na shati, inakuwaje anavaa na t-shirt!
 
View attachment 2909631View attachment 2909632View attachment 2909633
Kunyan wengi wanaojitambua na wenye pesa sasa hivi uchukua mafundi Tanzania,huyu jamaa kwenye picha amenijengea nyumba 2 ya 3 ya mdogo wangu,kwa sasa amepanda gharama na muda mwingi yupo kunyaland na si yeye tu,kunyan wengi pia now wanafanyia renovation ugly mijengo yao kupitia mafundi wa TZ
The 'bush stones' are a typical Kenyan architecture. Thinking this is your innovation is quite uninformed. Hao mafundi Ni miongoni mwa hundreds of thousands of Tanzanian souls who come to seek a living in Kenyan doing odd manual jobs Kisa Kenya inalipa vizuri kuliko Tanzania........purchasing power.
 
Back
Top Bottom