NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,388
- 17,969
Elewa mjadala Kwanza, usiamke tu na stress ukikimbilia kubishana.Unachukua nyumba za Uswazi Tanzania versus za Karen 😂😂😂
Elewa mjadala Kwanza, usiamke tu na stress ukikimbilia kubishana.Unachukua nyumba za Uswazi Tanzania versus za Karen 😂😂😂
Kama kujenga za kwenu ndio imewashinda, za Kenya ndio mtaweza?Hivi kuna cha kubisha hapo? Like seriously unalinganisha nyumba za Tanzania na Kunyaland? Utakua Kichaa, nyumba yoyote nzuri Kunyaland lazima aliyejenga ni mtanzania
Ni kama haelewi the meaning of location and status. Give him an example kutumia mineral water ama soda.Amesema 3BR bungalow ni 10M Kenya, nikamuambia hiyo statement ni ignorant Sana juu kuna a large array of houses that qualify to be 3BR bungalows yet utapata zenye zinacost less than 3M na zenye zinacost more than 100M, akajibu eti mimi naongelea gorofa naye hajataja gorofa, nikamwambia naongolea bungalows hadi nikampa examples, sahii anebadilisha goli eti alimaanisha nyumba Tanzania Ni cheap in general kuliko Kenya .....amesahau mjadala ulikuwa juu ya ignorant statement yake eti 3BR costs @0M in Kenya.
Shida yake hujifanya anaelewa Kenya Sana wakati knowledge yake inaishia kijijini mwake. On a separate post amepost data from statistica ya wanaokufa from malaria Kenya akisema malaria sii ugonjwa wa kuuwa mtu eti Kenyan medical sector itakuwa chini Sana. Nimemquotia from the same same source kuwa Tanzania Ina vifo karibia Mara mbili ya Kenya vya malaria anasema eti data Ni wrong Kisa amefanya kazi sector ya afya hajaona mtu akifa malaria.
Yani jamaa mjinga Sana. Nimemweka mwenye list ya wajinga akina Mwarabu Bonoko, Fake Bondi na Venus Flytrap.🤣🤣🤣
Wakundustan hamjui kujenga hamjui kuweka tiles, hamjui roofings, hamjui gypsum, hamjui landscaping, hamjui fencing, hamjui finishing ya aina yoyoteKama kujenga za kwenu ndio imewashinda, za Kenya ndio mtaweza?
Unapost upuzi kama huu na bado mang'ombe zinalike? Enhyewe nakubaliana na Teargas, all Tanzanians are stupid. 😂 😂Wakundustan hamjui kujenga hamjui kuweka tiles, hamjui roofings, hamjui gypsum, hamjui landscaping, hamjui fencing, hamjui finishing ya aina yoyote
Typical average Tanzanias house
View attachment 2908676
High-end Kunyaland mansion
View attachment 2908675
Kujenga madirisha tu inawatoa kamasi itakua roofing 😁😁😁😁😁Wakundustan hamjui kujenga hamjui kuweka tiles, hamjui roofings, hamjui gypsum, hamjui landscaping, hamjui fencing, hamjui finishing ya aina yoyote
Typical average Tanzanias house
View attachment 2908676
High-end Kunyaland mansion
View attachment 2908675
Wehu hujiona wazima na kuita walio timamu wehu.Sina wakati wa kujibizana na mwehu.🚮🚮
KiberaWalker having more than 10 accounts for each social network and those networks are not Kenyan. This is foolishnessUnapost upuzi kama huu na bado mang'ombe zinalike? Enhyewe nakubaliana na Teargas, all Tanzanians are stupid. 😂 😂
Hayo sijapinga.There's something called location and status. Price of a house in Tandale and Masaki can't be the same hata kama nyumba ni exactly the same.
Do you know that ukihamisha nyumba ya makuti from Tandale to Masaki price yake itapanda almost 4 times?
Which exact location? There is no location in Tanzania that can match Ridgeways, Muthaiga or Karen.Hayo sijapinga.
Embu rejelea hata post yangu ambayo nilikua naelezea kuhusu purchasing power.
Nilitoa mfano wa bungalow za kawaida sikusema exactly hiyo ndio bei yake.
Na nikasema kwa thamani na ubora ule ule wa Kenya Tz unaweza jenga nyumba nyingi zaidi.
Ila nahisi jamaa yako ANA TAKATAKA KICHWANI.
Pia sikupinga ndio maana nikasema kuwa Tanzania pia nyumba huangaliwa location kama Kenya.
Despite location bado Tanzania hatuwezi kuwa na nyumba bei kubwa kama Kenya .
Hiyo bungalow ya 100m Ksh Tz unaweza KUNUNUA BEI YA ROBO YAKE IKIWA NA EXACT LOCATION AND EXACT STANDARD.
Na kuhusu masaki hapo kitaangaliwa kiwanja.
Itayopandisha thamani hiyo makuti ya Tandale kiwanja sio ubora wa nyumba,ila ukijenga nyumba kwa ubora na kiwanja kipo mjini basi utapigiwa GHARAMA YA UBORA WA NYUMBA NA KIWANJA.
Embu soma vizuri mfano wangu kesha tafadhali sema ww nani haelewi kati yangu na mwenzio???Ni kama haelewi the meaning of location and status. Give him an example kutumia mineral water ama soda.
Kwa kibanda chupa ndogo ya maji 20 bob
Kwa club the same water will cost around 70 bob
In a 2* hotel hiyo maji will cost around 100 bob
In 4* and some 5* hotels that water will cost around 200 bob.
Mulize pia kama bei za nyumba ni same Tandale na Masaki.
Umeanza kutafuta pa kutokea. Hayo ya location umeyasema after nimekupa kisomo. Mwanzo ulisema 3BR house in Kenya costs 10M. Kubali ujinga wako uelimike. 😂 😂Hayo sijapinga.
Embu rejelea hata post yangu ambayo nilikua naelezea kuhusu purchasing power.
Nilitoa mfano wa bungalow za kawaida sikusema exactly hiyo ndio bei yake.
Na nikasema kwa thamani na ubora ule ule wa Kenya Tz unaweza jenga nyumba nyingi zaidi.
Ila nahisi jamaa yako ANA TAKATAKA KICHWANI.
Pia sikupinga ndio maana nikasema kuwa Tanzania pia nyumba huangaliwa location kama Kenya.
Despite location bado Tanzania hatuwezi kuwa na nyumba bei kubwa kama Kenya .
Hiyo bungalow ya 100m Ksh Tz unaweza KUNUNUA BEI YA ROBO YAKE IKIWA NA EXACT LOCATION AND EXACT STANDARD.
Na kuhusu masaki hapo kitaangaliwa kiwanja.
Itayopandisha thamani hiyo makuti ya Tandale kiwanja sio ubora wa nyumba,ila ukijenga nyumba kwa ubora na kiwanja kipo mjini basi utapigiwa GHARAMA YA UBORA WA NYUMBA NA KIWANJA.
For your stupid perspective that is what you say!Which exact location? There is no location in Tanzania that can match Ridgeways, Muthaiga or Karen.
Shida yako unakurupuka sana.Umeanza kutafuta pa kutokea. Hayo ya location umeyasema after nimekupa kisomo. Mwanzo ulisema 3BR house in Kenya costs 10M. Kubali ujinga wako uelimike. 😂 😂
So in your stupid mind you think you can compare Masaki to Muthaiga or Kigamboni to Ridgeways or Mbezi to Muthaiga? Unaitaji daktari wewe.For your stupid perspective that is what you say!
Masaki,Mikocheni,Kijichi,Mbagala kuu,Mbezi beach,Ununio,Bunju,Ilala,Sinza and Kigamboni.
What standard do you want us to compare between this and yours there in Kenya????
There is a smart example and a stupid example. You can tell how smart someone is by the examples they give.Shida yako unakurupuka sana.
Husomi ukaelewa.
Na pia sidhani kama unajua meaning of example and actual.
Unapost upuzi kama huu na bado mang'ombe zinalike? Enhyewe nakubaliana na Teargas, all Tanzanians are stupid. 😂 😂
This is what a high end mansion looks like in Kenya.
View: https://www.youtube.com/watch?v=FfCtrChhQ58
And here is what a typical average Tanzanian townhouse looks like.
![]()