Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Amesema 3BR bungalow ni 10M Kenya, nikamuambia hiyo statement ni ignorant Sana juu kuna a large array of houses that qualify to be 3BR bungalows yet utapata zenye zinacost less than 3M na zenye zinacost more than 100M, akajibu eti mimi naongelea gorofa naye hajataja gorofa, nikamwambia naongolea bungalows hadi nikampa examples, sahii anebadilisha goli eti alimaanisha nyumba Tanzania Ni cheap in general kuliko Kenya .....amesahau mjadala ulikuwa juu ya ignorant statement yake eti 3BR costs @0M in Kenya.

Shida yake hujifanya anaelewa Kenya Sana wakati knowledge yake inaishia kijijini mwake. On a separate post amepost data from statistica ya wanaokufa from malaria Kenya akisema malaria sii ugonjwa wa kuuwa mtu eti Kenyan medical sector itakuwa chini Sana. Nimemquotia from the same same source kuwa Tanzania Ina vifo karibia Mara mbili ya Kenya vya malaria anasema eti data Ni wrong Kisa amefanya kazi sector ya afya hajaona mtu akifa malaria.
Yani jamaa mjinga Sana. Nimemweka mwenye list ya wajinga akina Mwarabu Bonoko, Fake Bondi na Venus Flytrap.🤣🤣🤣
Ni kama haelewi the meaning of location and status. Give him an example kutumia mineral water ama soda.

Kwa kibanda chupa ndogo ya maji 20 bob
Kwa club the same water will cost around 70 bob
In a 2* hotel hiyo maji will cost around 100 bob
In 4* and some 5* hotels that water will cost around 200 bob.

Mulize pia kama bei za nyumba ni same Tandale na Masaki.
 
Kama kujenga za kwenu ndio imewashinda, za Kenya ndio mtaweza?
Wakundustan hamjui kujenga hamjui kuweka tiles, hamjui roofings, hamjui gypsum, hamjui landscaping, hamjui fencing, hamjui finishing ya aina yoyote

Typical average Tanzanias house

images (20).jpeg



High-end Kunyaland mansion

images (19).jpeg
 
Wakundustan hamjui kujenga hamjui kuweka tiles, hamjui roofings, hamjui gypsum, hamjui landscaping, hamjui fencing, hamjui finishing ya aina yoyote

Typical average Tanzanias house

View attachment 2908676


High-end Kunyaland mansion

View attachment 2908675
Unapost upuzi kama huu na bado mang'ombe zinalike? Enhyewe nakubaliana na Teargas, all Tanzanians are stupid. 😂 😂
This is what a high end mansion looks like in Kenya.

View: https://www.youtube.com/watch?v=FfCtrChhQ58

And here is what a typical average Tanzanian townhouse looks like.
1.jpg
 
There's something called location and status. Price of a house in Tandale and Masaki can't be the same hata kama nyumba ni exactly the same.

Do you know that ukihamisha nyumba ya makuti from Tandale to Masaki price yake itapanda almost 4 times?
Hayo sijapinga.
Embu rejelea hata post yangu ambayo nilikua naelezea kuhusu purchasing power.
Nilitoa mfano wa bungalow za kawaida sikusema exactly hiyo ndio bei yake.
Na nikasema kwa thamani na ubora ule ule wa Kenya Tz unaweza jenga nyumba nyingi zaidi.
Ila nahisi jamaa yako ANA TAKATAKA KICHWANI.
Pia sikupinga ndio maana nikasema kuwa Tanzania pia nyumba huangaliwa location kama Kenya.
Despite location bado Tanzania hatuwezi kuwa na nyumba bei kubwa kama Kenya .
Hiyo bungalow ya 100m Ksh Tz unaweza KUNUNUA BEI YA ROBO YAKE IKIWA NA EXACT LOCATION AND EXACT STANDARD.
Na kuhusu masaki hapo kitaangaliwa kiwanja.
Itayopandisha thamani hiyo makuti ya Tandale kiwanja sio ubora wa nyumba,ila ukijenga nyumba kwa ubora na kiwanja kipo mjini basi utapigiwa GHARAMA YA UBORA WA NYUMBA NA KIWANJA.
 
Hayo sijapinga.
Embu rejelea hata post yangu ambayo nilikua naelezea kuhusu purchasing power.
Nilitoa mfano wa bungalow za kawaida sikusema exactly hiyo ndio bei yake.
Na nikasema kwa thamani na ubora ule ule wa Kenya Tz unaweza jenga nyumba nyingi zaidi.
Ila nahisi jamaa yako ANA TAKATAKA KICHWANI.
Pia sikupinga ndio maana nikasema kuwa Tanzania pia nyumba huangaliwa location kama Kenya.
Despite location bado Tanzania hatuwezi kuwa na nyumba bei kubwa kama Kenya .
Hiyo bungalow ya 100m Ksh Tz unaweza KUNUNUA BEI YA ROBO YAKE IKIWA NA EXACT LOCATION AND EXACT STANDARD.
Na kuhusu masaki hapo kitaangaliwa kiwanja.
Itayopandisha thamani hiyo makuti ya Tandale kiwanja sio ubora wa nyumba,ila ukijenga nyumba kwa ubora na kiwanja kipo mjini basi utapigiwa GHARAMA YA UBORA WA NYUMBA NA KIWANJA.
Which exact location? There is no location in Tanzania that can match Ridgeways, Muthaiga or Karen.
 
Ni kama haelewi the meaning of location and status. Give him an example kutumia mineral water ama soda.

Kwa kibanda chupa ndogo ya maji 20 bob
Kwa club the same water will cost around 70 bob
In a 2* hotel hiyo maji will cost around 100 bob
In 4* and some 5* hotels that water will cost around 200 bob.

Mulize pia kama bei za nyumba ni same Tandale na Masaki.
Embu soma vizuri mfano wangu kesha tafadhali sema ww nani haelewi kati yangu na mwenzio???
Hii comment yangu inaeleza yote bei,location mpaka aina ya nyumba.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-02-19-08-42-50-38_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    Screenshot_2024-02-19-08-42-50-38_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    391.4 KB · Views: 5
Hayo sijapinga.
Embu rejelea hata post yangu ambayo nilikua naelezea kuhusu purchasing power.
Nilitoa mfano wa bungalow za kawaida sikusema exactly hiyo ndio bei yake.
Na nikasema kwa thamani na ubora ule ule wa Kenya Tz unaweza jenga nyumba nyingi zaidi.
Ila nahisi jamaa yako ANA TAKATAKA KICHWANI.
Pia sikupinga ndio maana nikasema kuwa Tanzania pia nyumba huangaliwa location kama Kenya.
Despite location bado Tanzania hatuwezi kuwa na nyumba bei kubwa kama Kenya .
Hiyo bungalow ya 100m Ksh Tz unaweza KUNUNUA BEI YA ROBO YAKE IKIWA NA EXACT LOCATION AND EXACT STANDARD.
Na kuhusu masaki hapo kitaangaliwa kiwanja.
Itayopandisha thamani hiyo makuti ya Tandale kiwanja sio ubora wa nyumba,ila ukijenga nyumba kwa ubora na kiwanja kipo mjini basi utapigiwa GHARAMA YA UBORA WA NYUMBA NA KIWANJA.
Umeanza kutafuta pa kutokea. Hayo ya location umeyasema after nimekupa kisomo. Mwanzo ulisema 3BR house in Kenya costs 10M. Kubali ujinga wako uelimike. 😂 😂
 
Which exact location? There is no location in Tanzania that can match Ridgeways, Muthaiga or Karen.
For your stupid perspective that is what you say!
Masaki,Mikocheni,Kijichi,Mbagala kuu,Mbezi beach,Ununio,Bunju,Ilala,Sinza and Kigamboni.
What standard do you want us to compare between these and yours there in Kenya????
 
Umeanza kutafuta pa kutokea. Hayo ya location umeyasema after nimekupa kisomo. Mwanzo ulisema 3BR house in Kenya costs 10M. Kubali ujinga wako uelimike. 😂 😂
Shida yako unakurupuka sana.
Husomi ukaelewa.
Na pia sidhani kama unajua meaning of example and actual.
 
For your stupid perspective that is what you say!
Masaki,Mikocheni,Kijichi,Mbagala kuu,Mbezi beach,Ununio,Bunju,Ilala,Sinza and Kigamboni.
What standard do you want us to compare between this and yours there in Kenya????
So in your stupid mind you think you can compare Masaki to Muthaiga or Kigamboni to Ridgeways or Mbezi to Muthaiga? Unaitaji daktari wewe.
 
Shida yako unakurupuka sana.
Husomi ukaelewa.
Na pia sidhani kama unajua meaning of example and actual.
There is a smart example and a stupid example. You can tell how smart someone is by the examples they give.
First of all, you compared buying in Kenya to building in Tanzania. Building is much cheaper than buying and doesn't include land rate or location. On that alone, it's clear you lack knowledge. Secondly you can't use 3BR as complete description of a house when 3BR can constitute two houses with one house being 50 times more expensive than the other. Kubali huelewi nachosema.
 
Unapost upuzi kama huu na bado mang'ombe zinalike? Enhyewe nakubaliana na Teargas, all Tanzanians are stupid. 😂 😂
This is what a high end mansion looks like in Kenya.

View: https://www.youtube.com/watch?v=FfCtrChhQ58

And here is what a typical average Tanzanian townhouse looks like.
1.jpg

Sasa hiyo nyumba niliosema typical average home in Tanzania ina tofauti gani na hizi za huku vijijini Tanzania zilizopo pembezoni mwa hiyo shule?

Kunyaland nyumba za aina hii zipo naislum na zenyewe ni za kubahatisha

20240219_084759.jpg


Wengi wenu mnaishi humu

images (10).jpeg
 
Back
Top Bottom