Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Go and search the Price of Apple Ipad 9th Generation alafu uniambie kama siezinunua Jamii Yako.Haiondoi ukweli kuwa you own Tecno cheapest phone in this galaxy 😀😕😕😀😀
Go and search the Price of Apple Ipad 9th Generation alafu uniambie kama siezinunua Jamii Yako.Haiondoi ukweli kuwa you own Tecno cheapest phone in this galaxy 😀😕😕😀😀
Jamaa kanalia kuliko katoto kadogo. Haka hakana kazi, hakana pesa, hakana Afya mzuri.Kumbe ni crybaby 🤣
Unatumia Tecno sote tumeona hapo juu. Also You don't know how to drive car. Kila siku unatumia uber. Wewe ni maskini Number one hapo Kibera 😀 😀 😀Go and search the Price of Apple Ipad 9th Generation alafu uniambie kama siezinunua Jamii Yako.
Mara yako ya mwisho kuingia heat period ilikuwa lini?Jamaa kanalia kuliko katoto kadogo. Haka hakana kazi, hakana pesa, hakana Afya mzuri.
Kanazaja tu Dunia without bringing any benefit to the ecosystem.
Una maanisha USA does not import oil!🤗😂🤔Watanzania wote ni wajinga.
USA produce and use their own oil. Does Kenya produce commercial oil?
Umesahau hakana masomo. Eti 'What kind of this question'. 🤣🤣🤣Jamaa kanalia kuliko katoto kadogo. Haka hakana kazi, hakana pesa, hakana Afya mzuri.
Kanazaja tu Dunia without bringing any benefit to the ecosystem.
Actually tuna food kama zote ila Msaada wa msamalia mwema anaekuja kukupa pole hukatai na humpangii.Nilidhani mna chakula ya kutosha hata you “feed” Kenya 😂
Wenye njaa Huwa Wana exports food Kunyaland? 👇👇Msaada wa chakula ni kwa ajili ya njaa. Kama mnapata msaada wa chakula ina maanisha kuna watu hawana chakula mahali kwa nchi yenu. Kiufupi, mna njaa.
Sawa mjukuu wa kinjeketile ngwale.Unatumia Tecno sote tumeona hapo juu. Also You don't know how to drive car. Kila siku unatumia uber. Wewe ni maskini Number one hapo Kibera 😀 😀 😀
Tunakujua wewe you own more than 10 accounts. Unajijibu wewe mwenyewe na ku like wewe mwenyewe. Huoni kuwa wewe ni mwehu? 😀 😀 😀Umesahau hakana masomo. Eti 'What kind of this question'. 🤣🤣🤣
Tuambie hiyo Tecno ulipewa na Mama Ngina?Sawa mjukuu wa kinjeketile ngwale.
Nimesema wapi they don't import? But if you consider the ratio of local use:import utapata they majorly use petrol drilled in US.Una maanisha USA does not import oil!🤗😂🤔
Ukijaribu kuskate hivi dar is a slum unaweza jipata umegonga thermos, birika, vikombe na masahani za wale watu wa kuuza kahawa. 😂 😂 😂
View: https://x.com/RealElvisDerry/status/1756306530658287986?s=20
Umesema USA wana pruduce and they use their own oil! unakana maneno yako!Nimesema wapi they don't import? But if you consider the ratio of local use:import utapata they majorly use petrol drilled in US.
JF yote inajuwa you own TECNOHawa washamba wanajua hata skating ni nini?😂😂😂.
In campus I used to skate thoroughly, venye nilimaliza shule sijui interest ya skating ilipotelea wapi.
Wewe ni mpumbavu wa mwisho zaidi, ikulu ya DODOMA au relocation of our capital to DODOMA ni suala ambalo ni la kimkakati, sababu za serikali kuhamia DODOMA kila leo zinaelezwa humu, lakini kwasababu wewe umejawa na chuki basi umechagua kujifanya haujui Chochote, watu wa namna kama yako ni mazezeta, na wala sitarajii kama kuna mtanzania atakujibu tena huu ufala wako🤣🤣🤣.Replication of office buildings ambazo already wako nazo wanaona ni maendeleo. Rais ana Ikulu Dar, nyingine inajengwa Dodoma wanaona hayo ni maendeleo. Ingekuwa nchi inayojielewa wengi wangequestion hiyo decision lakini wao wanaona ni flex. 🤣