Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Afadhali sisi ni umeme na nyie mnao kufa njaa kila mwaka na aridhi yote wanamiliki wageni na wanasiasa kwa kulima maua Karne hii kuna watu wanakufa njaa
Wacha nikukumbushe kidogo.

Msaada.png
 
Low cost of living inakuwa determined na low production costs which in turn inawezeshwa na superior infrastructure such as water, energy transportation( roads, rail, airports and sea and inland ports)and friendly taxes all these are hallmark of a developed economy.
Watanzania wote ni wajinga.

So USA is not developed compared to Tanzania since the cost of living in USA is higher than Tanzania?
 
A gallon of petrol in USA is 3.3 dollars how much is a gallon of petrol in Kenya bearing in mind a gallon is equivalent to 4.75 litres. Tuanzie hapo kwanza kabla hatujaenda kwenye Mc Donalds, KFC na Burger King.
Watanzania wote ni wajinga.

USA produce and use their own oil. Does Kenya produce commercial oil?
 
Magufuli City has no industries, no schools, no IT hub. Just government offices. It adds no value to your economy. Tatu City has industries, IT hubs, Schools and retail outlets.
tanzanians never think critically.....hao bora wameona building ya glass maisha yao imekomea hapo.
 
Watanzania wote ni wajinga.

USA produce and use their own oil. Does Kenya produce commercial oil?
Hawa watu ni wajinga sana, yani USA kwenye kunyoa nywele kinyozi inacost over $50 dollars (KES 7275) mtu anasema iko na low cost of life than Kenya. Hapa Kenya utanyoa nywele na KES 50 kuendelea. USA Mkate unanunua na $2.5 dollars wakati hapa Kenya 0.41 dollars utakula mkate. Hawa watu wajinga sana. 🤣
 
tanzanians never think critically.....hao bora wameona building ya glass maisha yao imekomea hapo.
Replication of office buildings ambazo already wako nazo wanaona ni maendeleo. Rais ana Ikulu Dar, nyingine inajengwa Dodoma wanaona hayo ni maendeleo. Ingekuwa nchi inayojielewa wengi wangequestion hiyo decision lakini wao wanaona ni flex. 🤣
 
Replication of office buildings ambazo already wako nazo wanaona ni maendeleo. Rais ana Ikulu Dar, nyingine inajengwa Dodoma wanaona hayo ni maendeleo. Ingekuwa nchi inayojielewa wengi wangequestion hiyo decision lakini wao wanaona ni flex. 🤣
To make it worse rais bado anaishi Dar, meaning that building at Dodoma is a ghost building.
 
Si hata nyinyi mmepata misaada ya Chakula kutoka Qatar?😂😂🤣
Pale kuna misaada mpaka ya madawa.
Na dhumuni kuwafikia wahanga wa maporomoko ya udongo,hivyo hatuna tofauti na Turkiye.
Sio ninyi wazima na mnajinasibu mna pesa na maendeleo ila mnapokea msaada wa unga.
 
Back
Top Bottom