Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kileleshwa
Screenshot_20240207-192842_1.jpg
 
Jibu swali umeme ulikuwa unakatika au haukatiki?

Jibu ni jepesi sana ,economic activities by then zilikuwa very low ,ndio kile kipindi Jiwe alikuwa anasingizia anajenga Sgr,sijui bwawa nk hivyo hata mahitaji yalikuwa chini.

Kwa Sasa Ukuaji wa sekta ya umeme ni wastani wa 8% so imeweka pressure kwenye mahitaji na pia Serikali inasema miundombinu ni chakavu sana.

Mwisho Changamoto za kimazingira zimetokea awamu hii ya Mama kuliko kipindi hicho so lazima umeme ukatike.

Hata hivyo za Kuimarisha miundombinu inaendelea 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C3D0mNRLkZ0/?igsh=NnJnZml2N2F2aDAx

Kwa hiyo hata kipindi cha kikwete umeme ulikuwa unakatika hovyo sababu matumizi ya umeme yalikuwa makubwa?.

Sasa kama kipindi cha magu matumizi yalikuwa madogo kwanini serikali isingesema kuwa matumizi yamezidi na badala yake kuleta sababu tofauti tofauti zisizo na tija? Mara ooh maji yamekauka baada ya muda tukapewa mvua maji yakajaa chaajabu ile sababu wameshaikimbia sasa ivi wamekuja na reason ya kuibiwa mitambo

Pia usijidanganye tunareserve ya umeme


Kapimwe ubongo
 
Loans zako ni za kuweka shamba la Jamii Yako kama collateral. Wewe huna pesa. Alafu hiyo mambo ya loan inakukasirisha kweli kweli, why can't you be like Simon that openly accepts the debts Ako nazo even though he is still earning peanuts 😂😂😂
How much do you make bruh? If Tshs2.8M is a peanut to You...
 
Back
Top Bottom