Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sawa jobless. Umeshinda. 😂😂😂.

Ebu niambie hizo details zangu ni gani?😂😂😂
Si amekutajia ulipokuwa unafanya kazi na mshahara wako na umekubali kwa kusema kuwa umeacha kazi pale, sasa unataka akujue vipi? Usicheze na intelijensia ya mtZ, haiwezekani unajirejista humu kwenye forum ya mtZ alafu tusikujue msenge wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwani nikimpinga ndio nini? Sometimes you have to leave someone to enjoy himself. How many times mmekuwa mkiamini ati Mimi ni nurse and I just kept quiet?😂

First, hajui boss wangu. Ni Mimi ndio nilipost that Shakira Muhammed hapa.

Secondly, Shakira is not even my boss. Huyo kazi yake ilikuwa disbursing of money nothing else.

Thirdly, he is using guesswork. Hajui anything huyo.
So, someone who is disbursing money at your office is not your boss, at your level? You are mad and idiot.
 
Hapa kuna ukakasi, Teargas ni young boy ama young girl. Maana kama nakumbuka vizuri kuna kipindi alitumia profile pic pisi fulani matiti na madako ya kutosha
Kazee hako kasikudanganye wala sio demu ni kakubwa ka mwaka 80s kasikudanganye, hakuna dogo kenya, wote wazee. Kenya mtu anaanza kuwa mzee tangu anazaliwa. Kipchoge anakuambia ana miaka 30 sijui lkn unamuonaje uso wake.
 
Kazee hako kasikudanganye wala sio demu ni kakubwa ka mwaka 80s kasikudanganye, hakuna dogo kenya, wote wazee. Kenya mtu anaanza kuwa mzee tangu anazaliwa. Kipchoge anakuambia ana miaka 30 sijui lkn unamuonaje uso wake.
🤣🤣🤣🤣🤣😎😎😎
 
Kazee hako kasikudanganye wala sio demu ni kakubwa ka mwaka 80s kasikudanganye, hakuna dogo kenya, wote wazee. Kenya mtu anaanza kuwa mzee tangu anazaliwa. Kipchoge anakuambia ana miaka 30 sijui lkn unamuonaje uso wake.
😀 😀 😀Wanazeeka kabla ya kuzaliwa
1707654532224.png
 
Back
Top Bottom