Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa wewe ulikuwa unasoma, umeanza kazi juzi tu hapa, miaka yote hiyo nakuburuza mpaka unaleta pesa za mtandaoni humu au umenisahau, na nilikuwa nasema cku zote haka kamaskini kakipata kazi hatutapumua humu katataka kushindana na kila mtu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe hata umesoma kweli? Do you even have academic certificates?

Ama I'm just waiting my time arguing with stupid people?
 
So ukiona neno debit kwenye account yako it means ni loan! 😂😂😂
Enyewe nabishana na kondoo.
According to you hata hii ni loan maana kuna debit and credit.
View attachment 2900511
Wapi penye nilisema debit ni loan? Kweli wewe ndio kondoo wa kwanza hapa JF😂🤣🤣🤣.

Nilisema your account was credited with loans. Sasa umebadilisha ati debit ndio loan😂😂🤣🤣.


The way unajitetea kuhusu loans I think uko na loans mingi sana hadi kulipa inakulemea😂😂😂
 
Wewe hata umesoma kweli? Do you even have academic certificates?

Ama I'm just waiting my time arguing with stupid people?
Wewe ulikuwa unasoma tena hivyo hivyo ukiwa mtu mzima, juzi tu hapa ulivaa kiatu kina mashavu, leo umeanza jeuri, teargas wewe ni fukara mzee, na hutotoka kwenye ufukara mana familia yako yote ni fukara, we pambana na hali yako ila usitake kuanza kushindana na watu wapo kwenye ajira miaka kibao sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tanga port 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👇👇👇👇
Screenshots_2024-02-11-10-58-41.png






Mtwara port 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👇👇👇👇
Screenshots_2024-02-11-10-59-04.png






Lamu port big white elephant 🐘🐘🤣🤣🤣👇
Screenshots_2024-02-11-11-00-06.png
 
Kwan kuwa na loans ni kitu kibaya? Loans are for private and business development.

Hizi loans zenyewe hapa chin kama si limit ya serikali ya 1/3 kwenye account yangu ya mshahara ningechukua loans nyingine ili wazisombe zote mana sina matumiz nazo sana (mwanzo nilianza na NMB, sasa ninaelekea kuumaliza, nimeongeza na CRDB juzijuzi).
Kwangu mshahara sio muhimu mana nina acc nyingine ya biashara na "position duni" niliyonayo ina posho nyingi sana
View attachment 2900501
View attachment 2900503
Kuhusu hii mishahara, nina miaka almost 6 serikalin, na bado kuna cheo nakisubiria cha kumfanya maamuz ya kumuharibia mama kipenz cha ChoiceVariable 😎😃 (joke)

Joke nyingine, pengine hio kodi yangu (PAYE) ya mshahara wangu ndo mshahara wako
Just like I said I determine the discussion ya JF. I can see my wind has also brought you into the discussion table, kwanza si ulikataa ati hizo pesa sio zangu. Why are you now contributing?🤣🤣😂😂.

So when I was posting my salary ulikuwa likizo ama? Kwanza your salary is very small kweli. I earn more than that by far. For your information my PAYE is bigger than your Net Salary.
 
Just like I said I determine the discussion ya JF. I can see my wind has also brought you into the discussion table, kwanza si ulikataa ati hizo pesa sio zangu. Why are you now contributing?🤣🤣😂😂.

So when I was posting my salary ulikuwa likizo ama? Kwanza your salary is very small kweli. I earn more than that by far. For your information my PAYE is bigger than your Net Salary.
Mzee huna pesa. Acha kupiga Kelele. Juzi tu ulikuwa umeajiliwa na Shakira Mohamed pale Sai Pharmaceuticals
leo unakuja kutuvimbia hapa. Mbona account yako ya Teargass uliiacha?
 
Just like I said I determine the discussion ya JF. I can see my wind has also brought you into the discussion table, kwanza si ulikataa ati hizo pesa sio zangu. Why are you now contributing?🤣🤣😂😂.

So when I was posting my salary ulikuwa likizo ama? Kwanza your salary is very small kweli. I earn more than that by far. For your information my PAYE is bigger than your Net Salary.
For your information my PAYE is bigger than your Net Salary.
20230213_101738.jpg


Uwe na siku njema.
 
Hata ningekuwa na loans ingekuwa ni good news kwangu kwa sababu inaonesha bank zinaniamini na wanaweza kunikopesha pesa na wanajua nina uwezo wa kulipa, how about you? 😂😂😂
Back to the point, Where is your bank statement, post hapa ikiwa inaonesha debited and credited transactions.
View attachment 2900549
Loans zako ni za kuweka shamba la Jamii Yako kama collateral. Wewe huna pesa. Alafu hiyo mambo ya loan inakukasirisha kweli kweli, why can't you be like Simon that openly accepts the debts Ako nazo even though he is still earning peanuts 😂😂😂
 
Mzee huna pesa. Acha kupiga Kelele. Juzi tu ulikuwa umeajiliwa na Shakira Mohamed pale Sai Pharmaceuticals
leo unakuja kutuvimbia hapa. Mbona account yako ya Teargass uliiacha?
I don't argue with poor idiots like you. Tafuta kazi kwanza😂
 
Back
Top Bottom