Umeandika ujinga 🚮
Hakuna single factor ambayo unaweza sema imeleta Utalii zaidi badala yake ni mkusanyiko wa sababu kadhaa na mojawapo ni reputation ya Nchi Kwa Sasa kwamba sio ya kidikteta na matokeo yake ni Kuongezeka Kwa Utalii wa mikutano.
Credits ni Kwa Samia 👇👇
View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1681682126679285761?t=E5s601PaFEUe6cZr07FKrA&s=19
Umeandika ujinga 🚮
Hakuna single factor ambayo unaweza sema imeleta Utalii zaidi badala yake ni mkusanyiko wa sababu kadhaa na mojawapo ni reputation ya Nchi Kwa Sasa kwamba sio ya kidikteta na matokeo yake ni Kuongezeka Kwa Utalii wa mikutano.
Credits ni Kwa Samia 👇👇
View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1681682126679285761?t=E5s601PaFEUe6cZr07FKrA&s=19
KAKA AKIKUPA JIBU LENYE MANTIKI KUHUSU UMEME HUYU JAMAA MIE NAFUNGA ACC JF.Mtoto wake aanafanya happy birthday kwenye private jet angani alaf umesema anahitaji bei gani?? Na anahitaj yeye kama nani fundi au??😁😁😁😁😁 musifanye watanzania wajinga sana
Suali ni simple kwann umeme kipindi cha chuma kulikua hakukatiki ovyo shida iko wapi ???😁😁😁😁 ongea tu bila uoga
Huyu ana chuki na magufuli sasa hata nchi ingeongozwa na mbuzi angesifia mbuzi🤣🤣🤣We jamaa huyu mama sijui anakupa nini aisee!!
Doh!
Tuna safari ndefu sana hii nchi.
Jibu swali umeme ulikuwa unakatika au haukatiki?Kipindi cha Magufuli ilikua nadra sana kusikia umeme unakatika.
Na ukikatika haukatiki masaa 12.
Ila sasa hivi umeme unaweza ukakatika masaa 24+.
Unaweza ukanambia kipingi cha Jiwe walidhibiti vipi ukatikaji hovyo wa umeme??
Sababu zimekua haziishi mara nguzo kuibiwa,mara bwawa kukauka,si hawa hawa serikali walisema bwawa la JNHPP litakua tayari kuzalisha umeme january??
Serikali hii ya hovyo kabbissa
HAKUSIKILIZA HOTUBA ZA MWANZO ZA KIZIMKAZI.Unless uwe hujui maana ya udikteta 😅😅😅
Narudia kukwambia misingi imara iliojengwa ndio hiii leo unaona gorofa limesimama
Kunzia sector ya madini leo hii inafanya vzr na utalii kwa ujumla bila kusahau bandari zote pia au nasema urongooo???🤣🤣🤣🤣
Najua unaumia kukubali lakini ndio ukweli sasa
Huyo lofa hawezi elewaUnless uwe hujui maana ya udikteta 😅😅😅
Narudia kukwambia misingi imara iliojengwa ndio hiii leo unaona gorofa limesimama
Kunzia sector ya madini leo hii inafanya vzr na utalii kwa ujumla bila kusahau bandari zote pia au nasema urongooo???🤣🤣🤣🤣
Najua unaumia kukubali lakini ndio ukweli sasa
Awamu ya 5 kuliwahi kuwa na mikutano Mingi ya Kimataifa kama Sasa hivi? Ni awamu ipi Uchumi wa Arusha ulikufa?Unless uwe hujui maana ya udikteta 😅😅😅
Narudia kukwambia misingi imara iliojengwa ndio hiii leo unaona gorofa limesimama
Kunzia sector ya madini leo hii inafanya vzr na utalii kwa ujumla bila kusahau bandari zote pia au nasema urongooo???🤣🤣🤣🤣
Najua unaumia kukubali lakini ndio ukweli sasa
Your peak demand is less than 2000MW hio yote itakua idle power or for export. 😂 😂 😂Wala usiwe na waswas JN dam pekee itazalisha 2115MW we bado huogopi 😅😅😅
Jibu swali umeme ulikuwa unakatika au haukatiki?
Jibu ni jepesi sana ,economic activities by then zilikuwa very low ,ndio kile kipindi Jiwe alikuwa anasingizia anajenga Sgr,sijui bwawa nk hivyo hata mahitaji yalikuwa chini.
Kwa Sasa Ukuaji wa sekta ya umeme ni wastani wa 8% so imeweka pressure kwenye mahitaji na pia Serikali inasema miundombinu ni chakavu sana.
Mwisho Changamoto za kimazingira zimetokea awamu hii ya Mama kuliko kipindi hicho so lazima umeme ukatike.
Hata hivyo za Kuimarisha miundombinu inaendelea 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C3D0mNRLkZ0/?igsh=NnJnZml2N2F2aDAx
Ananipa Raha sana aisee maana Nchi inakimbia kiuchumi kuliko wakati wowote.We jamaa huyu mama sijui anakupa nini aisee!!
Doh!
Tuna safari ndefu sana hii nchi.
Awamu ya 5 kuliwahi kuwa na mikutano Mingi ya Kimataifa kama Sasa hivi? Ni awamu ipi Uchumi wa Arusha ulikufa?
Reputation ya Nchi ilikufa sana,Sasa hivi wawekezaji wanamiminika Kila sehemu unadhani mahitaji ni kidogo?
Mfano Mimi Mkoa niliko kina viwanda 3 vipya vimefunguliwa na picha ukitaka naweza kukuletea unadhani pressure ya mahitaji ni Ile Ile?
Ruvuma tuu hapo Kuna bil.500 zimemwagwa kwenye ujenzi wa kiwanda Kipya na mashamba ya miwa.
Kingine hiki hapa 👇
View: https://www.instagram.com/p/C3C4cjYtQTT/?igsh=MTEzeGo0bGFhMHF0MA==
Ananipa Raha sana aisee maana Nchi inakimbia kiuchumi kuliko wakati wowote.
Kwani wewe unaumia kisa nini? 👇👇
View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1727310817224171535?t=FIUsw5p79vYjAVPZ8tddXw&s=19
Awamu ya 5 kuliwahi kuwa na mikutano Mingi ya Kimataifa kama Sasa hivi? Ni awamu ipi Uchumi wa Arusha ulikufa?
Reputation ya Nchi ilikufa sana,Sasa hivi wawekezaji wanamiminika Kila sehemu unadhani mahitaji ni kidogo?
Mfano Mimi Mkoa niliko kina viwanda 3 vipya vimefunguliwa na picha ukitaka naweza kukuletea unadhani pressure ya mahitaji ni Ile Ile?
Ruvuma tuu hapo Kuna bil.500 zimemwagwa kwenye ujenzi wa kiwanda Kipya na mashamba ya miwa.
Kingine hiki hapa 👇
View: https://www.instagram.com/p/C3C4cjYtQTT/?igsh=MTEzeGo0bGFhMHF0MA==
Ni vichache sana na ndio maana Ile porojo ya viwanda haikusikika mdomoni mwa Jiwe kwenye uchaguzi Mkuu 2020.UNATAKA TUKULETEE LIST YA VIWANDA VILIVYOANZISHWA AWAMU YA 5??
NGOJA NIKULETEE
Huyo nyie asiwasumbue, huyo adui yake mkubwa alikuwa Magufuli sasa baada ya Magufuli kufariki yupo tayari amshabikie hata paka mradi tu ionekane Magufuli alikuwa wrong president ever.We jamaa huyu mama sijui anakupa nini aisee!!
Doh!
Tuna safari ndefu sana hii nchi.
Mtu anafananisha kukatika umeme kwa masaa kadhaa na kukatika kwake nadra sanaaaaaa anafananisha na ukatikaji wa siku nzima wa umeme.Huyu ana chuki na magufuli sasa hata nchi ingeongozwa na mbuzi angesifia mbuzi🤣🤣🤣