Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwan kuwa na loans ni kitu kibaya? Loans are for private and business development.

Hizi loans zenyewe hapa chin kama si limit ya serikali ya 1/3 kwenye account yangu ya mshahara ningechukua loans nyingine ili wazisombe zote mana sina matumiz nazo sana (mwanzo nilianza na NMB, sasa ninaelekea kuumaliza, nimeongeza na CRDB juzijuzi).
Kwangu mshahara sio muhimu mana nina acc nyingine ya biashara na "position duni" niliyonayo ina posho nyingi sana
View attachment 2900501
View attachment 2900503
Kuhusu hii mishahara, nina miaka almost 6 serikalin, na bado kuna cheo nakisubiria cha kumfanya maamuz ya kumuharibia mama kipenz cha ChoiceVariable 😎😃 (joke)

Joke nyingine, pengine hio kodi yangu (PAYE) ya mshahara wangu ndo mshahara wako
cc Venus Star,shugulikianeni
 
Watanzania wanaojielewa.

Screenshot_20240204-161517_1.jpg
 
🤣 🤣 🤣 🤣 Baada ya kujua details zako huwa nacheka sana.
1. Hujui kuendesha gari
2. The last time I checked your salary was less than Ksh 39,000
3. You are not beautiful
🤣🤣🤣🤣
Sawa jobless. Umeshinda. 😂😂😂.

Ebu niambie hizo details zangu ni gani?😂😂😂
 
Ntambishiaje mtu anamjua hadi boss wako😅

By theway haukumpinga😄
Kwani nikimpinga ndio nini? Sometimes you have to leave someone to enjoy himself. How many times mmekuwa mkiamini ati Mimi ni nurse and I just kept quiet?😂

First, hajui boss wangu. Ni Mimi ndio nilipost that Shakira Muhammed hapa.

Secondly, Shakira is not even my boss. Huyo kazi yake ilikuwa disbursing of money nothing else.

Thirdly, he is using guesswork. Hajui anything huyo.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 Acha kudanganya watu humu. If not changed your salary until today is less than Ksh 39,000.
And if changed just for few months will not go beyond Ksh45,000 🤣🤣🤣
Ukimaliza kupiga kelele niambie ninunulie familia Yako lunch😂😂😂.

Mara 39,000
Mara less than 39,000
Mara 45,000.


Which is which?😂😂😂
 
Kwani nikimpinga ndio nini? Sometimes you leave someone to enjoy himself. How many times mmekuwa mkiamini ati Mimi ni nurse and I just kept quiet?😂

First, hajui boss wangu. Ni Mimi ndio nilipost that Shakira Muhammed hapa.

Secondly, Shakira is not even my boss. Huyo kazi yake ilikuwa disbursing of money nothing else.

Thirdly, he is using guesswork. Hajui anything huyo.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kwisha habari yako. Shakira was doing what?
 
Back
Top Bottom