President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,792
Kama upo tayari kuumia mbona unajificha ficha kwa jina bandia? 🤣 🤣 🤣 🤣 Kama upo open; verify account yako watu wakujue kama kweli wewe upo tayari kuumia.Kwa taarifa Yako tuu nilikuwa tayari kuumia since Mwendazake ni Rais ,haya unayoongea wewe ni marudio.
Nasema hivi wewe tukana saizi Samia harafu leta huyo unaeona nimalaika uone kama nitakaa kimya.
Unadhani wewe ni Chuma huwezi kuumia?
Zaidi sana wewe ni Stupid fulani mwenye lengo la kuchonganisha watanzania.