ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,427
- 85,267
PM amesema sukari hakuna.Kwani Iko wapi?Hvi ww unadhani sukari hakuna nchini??🤣🤣
View: https://youtu.be/EXsfyYf7IOo?si=zDp-5Idf_AxkzY1G
PM amesema sukari hakuna.Kwani Iko wapi?Hvi ww unadhani sukari hakuna nchini??🤣🤣
Awamu ya 5 kuliwahi kuwa na mikutano Mingi ya Kimataifa kama Sasa hivi? Ni awamu ipi Uchumi wa Arusha ulikufa?
Reputation ya Nchi ilikufa sana,Sasa hivi wawekezaji wanamiminika Kila sehemu unadhani mahitaji ni kidogo?
Mfano Mimi Mkoa niliko kina viwanda 3 vipya vimefunguliwa na picha ukitaka naweza kukuletea unadhani pressure ya mahitaji ni Ile Ile?
Ruvuma tuu hapo Kuna bil.500 zimemwagwa kwenye ujenzi wa kiwanda Kipya na mashamba ya miwa.
Kingine hiki hapa 👇
View: https://www.instagram.com/p/C3C4cjYtQTT/?igsh=MTEzeGo0bGFhMHF0MA==
Ona ilivyokuwa kiazi.Mikutano inaleta pesa (Dola),inakuza Utalii na iwapa Wananchi wateja kwenye mahoteli na misosi.We bwege mikutano ya kimataifa inamsaidia nini mwananchi aliyeko kwenye joto na kushindwa kulala usiku sababu ya kukatika kwa umeme shwain
😂😂😂😂😂 Barabara ni tope mtindo mmoja Halaf mtaa una rangi ya gray kama si East Africa 😂😂😂Parklands, a busy construction siteView attachment 2897791
Kosugi Badala ya kulia Lia na kulaumu tenga mda wako wa miaka 2-3 kwenye ekari 2 tuu utakuja kunishukuru.
Kama huna eneo njoo nikuuzie bei chee,umeona huyu mwamba hapa 👇
View: https://youtu.be/APD7ddDGLQ8?si=F87C0LQ7oY2A9oup
Heheh , so basically what you are trying to tell us is that your president is desperately begging in Japan, ,
View: https://twitter.com/mbalamukadi01/status/1755707970879410456
Hata ingekuwa wewe ni M23/RDF kwa nini usitoe mlio, sasa imagine vyuma kama hivi vililipuka masaa 6 gongo la mboto, imagine yale mabomu yote yaelekezwe Kikali,
FYI Rwanga yote ni ndogo kuliko Wilaya Nyingi za Tanzania.
NOTE: Siwezi kuthibitisha kama video ni Congo, lakiini kwa Lugha na Uniform kwa asilimia 101% hawa ni JWTZ
Kenya be warned, Nairobi ni ndogo kama Ilala
View: https://twitter.com/mbalamukadi01/status/1755707970879410456
Hata ingekuwa wewe ni M23/RDF kwa nini usitoe mlio, sasa imagine vyuma kama hivi vililipuka masaa 6 gongo la mboto, imagine yale mabomu yote yaelekezwe Kikali,
FYI Rwanga yote ni ndogo kuliko Wilaya Nyingi za Tanzania.
NOTE: Siwezi kuthibitisha kama video ni Congo, lakiini kwa Lugha na Uniform kwa asilimia 101% hawa ni JWTZ
Kenya be warned, Nairobi ni ndogo kama Ilala
Not the ordinary kidney transplant but laparoscopic kidney transplant, na imefanywa with our local doctors.Hauko serious bro.
Hiyo kidney transplant Bongo tunafanya muda sasa.
Not the ordinary kidney transplant but laparoscopic kidney transplant, na imefanywa with our local doctors.
Bongo bado munasaidiwa na foreign doctors. 👇 👇
View: https://x.com/TogolaniMavura/status/1648205580325249024?s=20
Halafu hizo dola zinasaidia nini ikiwa karne hii ya 21 nchi haina umeme wa uhakika chini ya utawala wa chama unachokisifia ww kiazi,halafu habari zako za kisiasa peleka jukwaa la siasa zwazwa wwOna ilivyokuwa kiazi.Mikutano inaleta pesa (Dola),inakuza Utalii na iwapa Wananchi wateja kwenye mahoteli na misosi.
Ndio maana nakwambia Uchumi wa Arusha ulikufa ,nenda saizi uone.
Zinasaidia kupata pesa za kunulia mitambo ya kufua umeme.Halafu hizo dola zinasaidia nini ikiwa karne hii ya 21 nchi haina umeme wa uhakika chini ya utawala wa chama unachokisifia ww kiazi,halafu habari zako za kisiasa peleka jukwaa la siasa zwazwa ww