Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

If you think you are only fighting Kagame then you are stupid...he is just a proxy.M23 has genuine concerns too.....
We did ni
  1. Uganda
  2. Comoros
  3. Seychelles
  4. Zimbabwe
  5. Mozambique
  6. Angola
We can also do it in Congo.
Tanzania is the hope of Africa.
Even if Rwanda need liberation tupo tayari kuikomboa Africa yote.
Miaka miwili ijayo tutaikomboa Kenya 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
That one will put Tanzania at installed capacity of 3,900MW but generation will only be 1,500MW.
1900MW na bado haitoshelezi JN dam inaenda kuzalisha 2115 this year ambayo tunakwenda kua na 4000MW soon

Bado kuna miradi zaidi ya 6 ya kuzalisha umeme inaendelea tanzania ambayo tunahitaji by 2025 tuwe na 5000MW

Vumilia 💉💉💉💉 plz
 
If you think you are only fighting Kagame then you are stupid...he is just a proxy.M23 has genuine concerns too.....
Kagame ana amini ndoto ya Mchana kuwa atanufaika na machafuko Congo kama yakiwa ya kikabila, Kenya kwa sababu hamjali athari za ukabila mmeshindwa kumzuia wala kumchukulia hatua, sisi tumesema Hapana
 
Kagame ana amini ndoto ya Mchana kuwa atanufaika na machafuko Congo kama yakiwa ya kikabila, Kenya kwa sababu hamjali athari za ukabila mmeshindwa kumzuia wala kumchukulia hatua, sisi tumesema Hapana
Tanzania tunajenga Reli kuelekea Eastern Congo. Lazima tuhakikishe kuwa eneo hilo limetulia na watu wafanye biashara kihalali. Yeye Kagame anatakiwa afanye biashara halali na Congoman. Sisi Tanzania tutasafirisha mzigo.

Kama hataki kufuata process sisi tutamlazimisha kufanya hivyo. We are serious about this.
 
Kagame ana amini ndoto ya Mchana kuwa atanufaika na machafuko Congo kama yakiwa ya kikabila, Kenya kwa sababu hamjali athari za ukabila mmeshindwa kumzuia wala kumchukulia hatua, sisi tumesema Hapana
Tupo Congo kuhakikisha utulivu unakuwepo ili:-

SPN - Multinational - Design and Construction of an Electrified Standard Gauge Railway (SGR) under Design and Build (D&B) under the Multinational Tanzania – Burundi – DRC Congo SGR Project Phase I​


Kama PAKA haelewi hilo somo tutamfundisha kwa vitendo.
 
Yaani lazima iwepo picha ya kamfuko cha Unga. 😂
images - 2024-02-09T101805.049.jpeg
 
Back
Top Bottom