Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

If inferiority complex was a person…. 😂😂😂…. Yani you go dig deep into Turkana county geography just to massage your big ego…. You really got so much time in your hand…. You set a new record of inferiority complex 🤣🤣🤣🤣…
Yaani mtu unashinda njaa aseme inferiority complex? Mama Ngina kakufundisha kujifariji namna hiyo?
 
Somali is a culture and yes those Somalis are Kenyans. Garissa Iko Kenya, Mandera Iko Kenya, Wajir Iko Kenya, Isiolo Iko Kenya Moyale Iko Kenya. Wasomali wote wa Kenya wanatoka those places I have mentioned.
You should have asked him if the Arabs who hold their economy hostage are also Tanzanians
 
Somali is a culture and yes those Somalis are Kenyans. Garissa Iko Kenya, Mandera Iko Kenya, Wajir Iko Kenya, Isiolo Iko Kenya Moyale Iko Kenya. Wasomali wote wa Kenya wanatoka those places I have mentioned.
ushaenda mwanza ukakutana na waarabu wasukuma au unaongea ujinga usema huyo ni muiran nasema wasukuma ambao ni waarabu pure unalijua hili?
 
we mpuuzi nenda mwanza ukutane na wasukuma wa kijijini ambao ni waarabu pure nyie mnaishi wapi nyie hio tabora sijaitaja fala nyie acheni kujifungia.
Msukuma alafu ni mwarabu 'pure' at the same time!?🤷
We are living in very interesting times
 
unawafahamu waarabu wa kayenze mwanza? au umejifungia hapo kibera unatapika mashudu na hao ni wasukuma sisi hatuna ukabila au ubaguzi ndio maana ni ngumu kulijua hilo
Wasukuma ninaowajua ni wale wanatafuta ajira ya kuchunga ng'ombe huku Kenya. Wametapakaa kila Mahali. Tumewaajiri sana kwanza nyumbani kwetu tangu nikiwa mtoto
 
Wasukuma ninaowajua ni wale wanatafuta ajira ya kuchunga ng'ombe huku Kenya. Wametapakaa kila Mahali. Tumewaajiri sana kwanza nyumbani kwetu tangu nikiwa mtoto
wewe ni mpuuuzi ndio maana tunawwaambieni tembeeni acheni kujifungia kama mizigo kwenye buti sasa kama toko ukiwa mtoto unachungwa unafikiiri utajua nini.
 
Back
Top Bottom