President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,766
- 89,791
Yaani mpaka basi tuHili swali unauliza unataka kujua kweli.? Au unataka majibu ambayo yatakufanya ukimbie Uzi kwa leo.? 😂😂😂😂
Yaani mpaka basi tuHili swali unauliza unataka kujua kweli.? Au unataka majibu ambayo yatakufanya ukimbie Uzi kwa leo.? 😂😂😂😂
From 23 to 15 bado unalia tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hata hujui na vitu unaongelea. Currency yenu inazidi kuporomoka against KES na unacheka hapa. Ebu angalia dates na changes in exchange values😂
25th Jan
View attachment 2898487
29th Jan
View attachment 2898489
30th Jan
View attachment 2898492
31st Jan
View attachment 2898495
1st Feb
View attachment 2898498
2nd Feb
View attachment 2898501
5th Feb
View attachment 2898504
6th Feb
View attachment 2898507
7th Feb
View attachment 2898509
8th Feb
View attachment 2898511
9th Feb
View attachment 2898513
BOT 😁😁😁😁Real time figures which changes after every second.
Ksh is on a bullish trend against Tsh.
View attachment 2898541
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwanza hakuna mradi ambao Mwendazake aliukamilisha licha ya kukaa miaka 5 na ushee.
Hata hiyo Bandari kamalizia Samia.
Thamani ya huu mradi ni mara tano ya uwekezaji wa hivyo vikampuni vyao vya kuuza ndimu. 😂😂😂😂
Mbona anayofanya Samia ni mara 2 ya Mwendazake tena bila visingizio kama vya Mwendazake just within 3 years, Unajitoa ufahamu?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Miaka 5 utasema amekaa miaka 50 kwa mambo yaliyofanyika kwenye nchi hiii
Mbona anayofanya Samia ni mara 2 ya Mwendazake tena bila visingizio kama vya Mwendazake just within 3 years, Unajitoa ufahamu?
Akikaa miaka 5 Tzn si itakuwa Ulaya,ona ndugu zako Wakunya wanabyoshiboka hapa 👇
View: https://youtu.be/6jTGlOjF-U0?si=hX9fhkQCW3vPCE83
Mimi kwa kweli sipendi watu wanaomponda Magufuli. Ni tabia mbaya sana na za kishetani.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Miaka 5 utasema amekaa miaka 50 kwa mambo yaliyofanyika kwenye nchi hiii
Lakini hamjawai fanya laparoscopic kidney transplant which is a complex and more advanced.Hiyo mloganzila ni hospitali ya mafunzo we jamaa.
Ukiona kuna kitu chafanyika hapo jua ni mafunzo na madaktari wengi wa hapo ni wa mafunzo.
🖕🖕🖕Wewe ku***a alie tengeneza berths za Hiyo bandari ni nani.? 🖕
🚮🚮🚮🚮 Acha shoboMimi kwa kweli sipendi watu wanaomponda Magufuli. Ni tabia mbaya sana na za kishetani.
Hata kama unamchukia mtu inakuwa too much. Mtu alishafariki miaka karibia minne sasa lakini mtu bado anamuongelea mabaya tu. Haya ni mawazo ya kishetani.
Huyo ChoiceVariable anajifanya yupo upande wetu. Ni wa kumtazama kwa umakini.
I just warning you. Mimi sinaga utani mzee. Endelea na mambo yako hayo ya kipumbavu utajua au hujui.🚮🚮🚮🚮 Acha shobo
Fanya Yako wewe punguani,Niko humu Toka 2017 na sijaanza kumnanga Mwendazake Leo au Jana ni since hajawa Rais,akiwa Rais na hata baada ya Kufa.Sisi tupo hapa kwa kazi ya kuongelea Battle btn Dar es salaa and Nairobi. But huyu ChoiceVariable analeta uchonganishi wa ajabu sana.
Kusema kweli sipendi mambo yake ya kuanza kumtukana mtu ambaye hayupo. This is stupid. ChoiceVariable ukiendelea tutaanzisha vita kati yangu na wewe ya kimtandao.
Umechelewa sana kutoa warning , pumbavuI just warning you. Mimi sinaga utani mzee. Endelea na mambo yako hayo ya kipumbavu utajua au hujui.
Kama battle imekushinda kuna topic nyingi tu nenda kachangie au anzisha.
Subiri. Unakuja kuleta taarifa za Uchochezi.Umechelewa sana kutoa warning , pumbavu
Ndio maana unapewaga za uso kule jukwaa la siasaSubiri. Unakuja kuleta taarifa za Uchochezi.
Napewa za uso na nani? Fuatilia Comments zangu na utanijua mimi ni nani? Usikurupuke. Nitakushughulikia dawa yako inachemka.Ndio maana unapewaga za uso kule jukwaa la siasa