Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,626
View: https://twitter.com/mbalamukadi01/status/1755707970879410456
Hata ingekuwa wewe ni M23/RDF kwa nini usitoe mlio, sasa imagine vyuma kama hivi vililipuka masaa 6 gongo la mboto, imagine yale mabomu yote yaelekezwe Kikali,
FYI Rwanga yote ni ndogo kuliko Wilaya Nyingi za Tanzania.
NOTE: Siwezi kuthibitisha kama video ni Congo, lakiini kwa Lugha na Uniform kwa asilimia 101% hawa ni JWTZ
Kenya be warned, Nairobi ni ndogo kama Ilala
Hao ni JWTZ wakiwapa raha batutsi ba m23