Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo ni kufuta ama kupunguza??
Amepunguza sio kufuta.
No.3 bado ipo,unatofautishaje kodi za halmashauri na serikali??
Kwani halmashauri sio serikali??
Pesa zinazokusanywa na halmashauri zinaenda wapi kama sio TRA chombo kikuu cha ukusanyaji mapato??
Pita Morogoro uingie vijiji vya kuelekea Matombo kuanzia njia ya pale Luolole hadi gunia la pilipili unalipia ushuru.
Endelea kutoka povu wenzako wanachangamkia fursa 👇👇

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1753407167913189544?t=lS9YeXKxgdxYlFmf3G2wNA&s=19
 
Fursa pekee nilioichangamkia ya 10% ya pesa za halmashauri kwa mkopo wa kinamama,walemavu na vijana.
Na nimefanikiwa katika hilo March mpunga unaingia basss.
Baada ya Rais kupiga pini Ufisadi wenu mliokuwa mnashirikiana na Maafisa wa Halmashauri ndio unamwaga povu hivi kumbe 😆😆

Usijari siku sio nyingi Maelekezo mapya yanakuja jinsi ya ku access hizo pesa maana mlogeuza shamba la Bibi 👇👇

View: https://youtu.be/k65jLxth-9M?si=xm1Z4nj13_R6zQXd

Uzuri umekiri mwenyewe kwamba pesa mtapata Mwezi march, credit zote Kwa Samia.
 
Nataka nilete vita hapa. Naona wakenya wanakuja na kukimbia.
Nataka tuende head by head.

Nairobi vs Dar es salaam
Mombasa vs Unguja
Nakuru vs Mwanza
Eldoret vs Arusha
Kisumu vs Dodoma

Kwa mujibu wa taarifa zilizonifikia hapa Kenya ipo na 5 Cities

1707404896882.png


Je nianze?
 
Kisumu vs Dodoma ✅✅✅🎺
Tunaanza sasa wadogo zangu toka Kenya mpo?

Population
Dodoma: 3,085,625
Kisumu: 610,082
 
Back
Top Bottom