Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😳😳😳😳😳 Ona hii umbwa?

Wanaenda nchi zisizo na vita serious yaani migogoro ya hapa na pale na unakuta hata hawafyatui risasi hata moja, wanakwambia wamepeleka amani, masenge sana, sehemu serious za vita yameshindwa na kupata aibu, Somalia na Congo, even nchi yao Baringo na Turkana imekua tabu.
Sawa bongolala. Wewe tuambie jeshi lenu limeenda peace-keeping wapi wakafyatua angalau risasi mbili
 

Wakenya wauze umeme wautoe wapi?

Screenshot_20240204-132414.jpg
 
Eti hata elfu kumi hawafiki? Kivipi wakati Dar has close to 5 million people na huo ndio mfumo wa nyumba dar nzima? sasa hao mamilioni huishi kwenye hewa?

Talking of matofali, this is Kariobangi slum. An area made up of apartment buildings zilizojengwa na mawe, achia mbali hizo tofali zenu.
View attachment 2893958

Kilaza mwenzako defined slum as ujenzi duni. Sasa swali ni je, hizo nyumba za Kariobangi ni ujenzi duni?
We kweli kitobo.
Unataka kunambia Vingunguti,Tandale,Manzese na Buguruni wanafika wakazi milioni 5??
Nimezungumzia maeneo yenye makazi ya hovyo Dar.
Kaifuatilie Kigamboni kunakojengwa miji mipya na Temeke uone kunavyobadilishwa.
Maeneo yanayosalia kuwa na makazi mabovu ni wilaya ya Ilala(vingunguti,Buguruni,kiwalani) na wilaya ya Ubungo(Tandale,Manzese).
Na bado kunaendelea kuvunjwa kila leo.
 
Hakuna nyumba mathare ni vibanda vya mabati na sewage zinazooverflow na kunuka
Yaan ukiachana na kibera mathare nako ni worse zaidi watu wanaishi kwa madampo.
Pole bongolala.
Most parts of Mathare are a million times better than your stinking uswazi hovels spread all over Dar
images - 2024-02-04T132947.815.jpeg
Nairobis-densifying-tenement-skyline-as-seen-from-Mathare-North-Nairobi-2018.jpg
images - 2024-02-04T132752.294.jpeg
images - 2024-02-04T132726.723.jpeg
images - 2024-02-04T132631.576.jpeg

Sasa linganisha na zile uswazi hovels zenu zenye bati zilizoliwa na mchwa

I already told one of you that when it comes to housing and residential areas, mnafaa kutulia kama maji ya mtungi
 
MRL sio air defence system we kichaa.
Umeona wapi air defence system inatumia rocket system??
Halafu kumbe mna light rocket launcher Bm21??
Tz kuna Bm21, Bm27 na Bm 30.
Masafa mafupi,ya kati na marefu.
Kenya bado sana.

Wacha kujifanya pumbavu, hii table👇👇 we umeona MRLS pekee? 😂 😂 😂 Hizo SAM unajifanya hujaona.
screenshot-2024-02-04-014229-jpg.2893545
 
Before uanze kupingana na Mimi you must always have your facts with you. Cause there's no way hukujua Swahili is Arabic word.

It's also shameful that a country with over 60M idiots couldn't come up with a name of their most important city had wakaomba jina kutoka kwa warabu. Did you know Dar es salaam is ana Arabic name?
maybe the idiots dont know that
 

Kuna mbuzi ilisema now kila jeshi linapokea special force training, ona sasa amelazimishwa kuvuta bangi, walitest wakaona hakuna.

Nchi yoyote wahalifu hubip vyombo vya ulinzi kuona reaction yake, wakiona ya oya oya wanapata nguvu.

Kenya Northern Kenya, Al Shabaab, Wakoraa, Bandits.

Ila wakiona jeshi halina utani hawarudii tena.

Bongo - Kagera War, Pori la Loliondo, Mapango ya Amboni, Kusini Mtwara, Kibiti, Nyakanazi (Safari za usiku zikarudi).
 
Back
Top Bottom