Japo correction kaka partition ilifanyika 1947.Ukweli ni kwamba. Eneo linaloitwa Israel ni Palestine. Israele existed 1945, baada ya waingereza kuligawa eneo hilo.
Soma History mzee. Baada ya wayahudi kuchinjwa kule Ujerumani, Wayahudi dunia nzima walipiga kelele kuwa wanataka wawe na nchi yao ya wayahudi. Ndipo uingereza ikaigawa Palestine. Je, Palestine wanaamuliwa maisha yao na waingereza. The original jews ndio hao Palestinians. Na sio hao akina Netanyahu.
Netanyahu Asili yake ni Poland.
Ila huyu jamaa anachanganya waisrael na taifa la Israel.
Waisrael walikuwepo kama jamii ya waisrael ila hakukuwa na taifa la Israel.
Nahisi hilo linamchanganya.