mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,517
- 5,124
Naongelea haya mawazo yenu kuwa nchi ya israel haifai kuexist hiyo ardhi yote ni ya wapalestinTumekaririshwa na nani? South Africa wamewashitaki Israel je, wamekaririshwa na nani?
Naongelea haya mawazo yenu kuwa nchi ya israel haifai kuexist hiyo ardhi yote ni ya wapalestinTumekaririshwa na nani? South Africa wamewashitaki Israel je, wamekaririshwa na nani?
Ukweli ni kwamba. Eneo linaloitwa Israel ni Palestine. Israele existed 1945, baada ya waingereza kuligawa eneo hilo.Naongelea haya mawazo yenu kuwa nchi ya israel haifai kuexist hiyo ardhi yote ni ya wapalestin
Lete ushahidi wa kuwepo kwa taifa la Palestine eneo hilo. Waisraeli wameishi eneo hilo hadi kabla ya kuzaliwa kwa dini ya kiislamu. Walifanya kushindwa kuangamizwa na kufurushwa na milki kama vile roman na ottoman. Muingereza alipomshinda ottoman na kunyakua eneo hilo akaamua kuwarudisha wayahudi kwenye ardhi yao halisia. Majina kama vile jerusalem na bethlehem si majina ya kiarabu bali ya kiyahudiUkweli ni kwamba. Eneo linaloitwa Israel ni Palestine. Israele existed 1945, baada ya waingereza kuligawa eneo hilo.
Soma History mzee. Baada ya wayahudi kuchinjwa kule Ujerumani, Wayahudi dunia nzima walipiga kelele kuwa wanataka wawe na nchi yao ya wayahudi. Ndipo uingereza ikaigawa Palestine. Je, Palestine wanaamuliwa maisha yao na waingereza. The original jews ndio hao Palestinians. Na sio hao akina Netanyahu.
Netanyahu Asili yake ni Poland.
maasai hapana tambua watumwa wa kiswahili..lol
View: https://youtu.be/Q6gJq0SIL_0?si=GfE-JluYplgB6pcZ
Achana nao kunyan hao,to stick na kinachohusu uzi huu,huyo fala lawrance maina anajifanya kuijua israel zaidi hata ya waisrael wenyeweTumekaririshwa na nani? South Africa wamewashitaki Israel je, wamekaririshwa na nani?
Jamaa anaumizwa sana na ma slums yaliyotapakaa kenya, anatamani malaika aje ayaondoe usiku ili akiamka asubuhi akute hamna ma slums, ila ndiyo hivyo tena yanazidi kuongezeka day after day, now yame triple 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sawa mzee wa slums 🤣🤣🤣🤣
Kunya wamepangwa kundi gani?
View: https://twitter.com/Tanfootball/status/1753126522045472772?t=A6oL0-RqlP5MWfDTgnAMmg&s=19
Hakuna kabila linaloitwa Israel kijana wangu.Lete ushahidi wa kuwepo kwa taifa la Palestine eneo hilo. Waisraeli wameishi eneo hilo hadi kabla ya kuzaliwa kwa dini ya kiislamu. Walifanya kushindwa kuangamizwa na kufurushwa na milki kama vile roman na ottoman. Muingereza alipomshinda ottoman na kunyakua eneo hilo akaamua kuwarudisha wayahudi kwenye ardhi yao halisia. Majina kama vile jerusalem na bethlehem si majina ya kiarabu bali ya kiyahudi
Doh!Kwa hivo Tuite sehemu isiyo mji, mji Kisa ina vichochea uchumi ama unamaanishaje? Tuite Serengeti jiji? Mt. Kilimanjaro pia Tuite jiji? Selous National park nayo pia mji? Hilo bwawa la JNHHP Tuite Jiji pia? Wacha kufikiria kwa mavi mjikoni.
Unaua nzi kwa RPG kaka.Hakuna kabila linaloitwa Israel kijana wangu.
Ngoja nikupatie historia kidogo upate kujua.
Sitaki nianzie miaka ya BCE nataka nianzie kwenye utawala wa Roman Empire.
Katika utawala wa mfalme Herod akiwa chini ya utawala wa Roman Empire. Hakukuwa na nchi inayoitwa Israel badala yake kulikuwa na nchi Judea, Samaria na Idumea
View attachment 2891776
Baanda ya miaka mingi kupita miaka ya 210 CE eneo hilo liliitwa Province of Syria Palaestina
View attachment 2891777
Miaka ya 476 CE eneo jilo lilikuwa chini ya Byzantine Empire
View attachment 2891779
Mpaka hapo Palestine inajulikana hakuna Israel.
Baadaye kukaja kipindi cha Caliphate eneo hilo bado halijulikani kama ni Israel.
View attachment 2891781
Miaka ya 1095–1291 ilikuwa ni Crusader period (Nenda katafute maana ya Crusade) eneo hilo likaitwa kingdom of Jerusalem
View attachment 2891782
Kikaja kipindi cha Ayyubid and Mamluk periods miaka 1193–1382
View attachment 2891784
Tukaja kufika kwenye Ottoman Empire Bado hakuna taifa linaitwa Israel
View attachment 2891789
Baada ya kuondoa biashara ya utumwa na kuvunjika kwa Ottoman kuliunda kitu kinaitwa League of Nations na British walipewa kusimamia eneo hilo.
Hii hapa ndiyo British Mandate ya Kwanza kabisa
Whereas the Principal Allied Powers have also agreed that the Mandatory should be responsible for putting into effect the declaration originally made on November 2nd, 1917, by the Government of His Britannic Majesty, and adopted by the said Powers, in favor of the establishment in Palestine of a national home for the Jewish people, it being clearly understood that nothing should be done which might prejudice the civil and religious rights of existing non-Jewish communities in Palestine, or the rights and political status enjoyed by Jews in any other country.
Hapa Bado eneo hilo linatambuliwa ni Palestine. Niambie sasa hiyo Israel inatoka wapi?
Lete ushahidi wa kuwepo kwa taifa la Palestine eneo hilo. Waisraeli wameishi eneo hilo hadi kabla ya kuzaliwa kwa dini ya kiislamu. Walifanya kushindwa kuangamizwa na kufurushwa na milki kama vile roman na ottoman. Muingereza alipomshinda ottoman na kunyakua eneo hilo akaamua kuwarudisha wayahudi kwenye ardhi yao halisia. Majina kama vile jerusalem na bethlehem si majina ya kiarabu bali ya kiyahudi