Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1706886258695.png


1706886280541.png


1706886382227.png
 
Sa unakasirika ju Vingunguti kwa panya road hakuna bank. 😂 😂 😂
Nani kakwambia vinguguti hakuna Bank? Yaani nianze kuweka Bank zilizopo kwenye mitaa yote ya Dar?
Size ya Dar ni 1,590 km² Nairobi ni 696.1 km² Kama una akili timamu utaelewa niachoongea. Lakini kwakuwa wewe ni kichaa hutaelewa 🤣 🤣 🤣 There are more than 40 banks in Tanzania.

Huko kwenu ni Bank mbili tu. So ondoa ushamba.
 
Nania kakwambia vinguguti hakuna Bank? Yaani nianze kuweka Bank zilizopo kwenye mitaa yote ya Dar?
Size ya Dar ni 1,590 km² Nairobi ni 696.1 km² Kama una akili timamu utaelewa niachoongea. Lakini kwakuwa wewe ni kichaa hutaelewa 🤣 🤣 🤣 There are more than 40 banks in Tanzania.

Huko kwenu ni Bank mbili tu. So ondoa ushamba.
Wacha maneno mengi, si utuonyeshe benki moja in Vingunguti. 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom