Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyie Wakenya mnapenda kujihangaisha na vitu visivyo na mpango kwa maisha yenu ya leo. Anzeni na chakula kwanza, then maji, umeme, usafiri n.k
Hata hiyo data center unafikiri ni kitu cha maana basi, ni warehouse tuu lililojaa servers na few operators. Haina impact yoyote ya maana kwa nchi. Ruto angekuja na mpango wa kuwapatia makazi bora na ajira watu wa kibera ningemuaona wa maana.
 
Vitasa wanavyopata si mchezo, ila bado wapo na tai zao shingoni. Mwenzao MK254 alipataga dili la kuwatetea mabeberu hana tena habari ya kuitetea nchi yake.

Hehehe kwa sasa hivi niko busy kupambana na magaidi ya dini yenu...
Nitakuja kuteleza kwa SGR ya umeme kwenu huko, natumai mpaka sasa mumeitumia hadi mumekinai.
 
Hahaha. Kule unaniogopa kama UKIMWI.

Sijakuelewa sheikh, nikuogope kwenye lipi mimi mzee wa battles bana, waulize wavaa makobaz wenzio kule hawana hamu na mimi mpaka siku hizi wanatukana kabisa.
 
I certainly remember the tea party with their birther movement... it doesn't matter whether you're a natural born citizen, they'll just find a 'good excuse' to hind behind, while expressing their hatred towards people of color, specifically blacks. You're just never good enough but this is not a Republican or Democrat thing, both parties do the same, it just so happens that the latter is more covert.
I would say it’s more a right wing issue… been in the USA since Clinton days as President and I can tell you it’s generally a far right problem… there is a conspiracy called the replacement theory…. It was around but it got more empowered under Trump presidency…. It’s a belief that White people who are the ones that created America as we know it are systematically and purposefully being replaced by foreigners of color in a way to change America….thats why there is big war between parties on immigration…. Trump (MAGA) wing of Republican Party have refused to compromise on any immigration bill…States controlled by Republicans like Texas and Florida are sending their National guards to the Mexican border which is against the constitution since international border is a federal issue not states … If Biden goes crazy, he could start a war between Federal border patrol and state national guard…. basically a civil war… hopefully it doesn’t get to that… but on real sense, lots of White Republicans are scared about their future and hold on power… but it will eventually happen based on birth rates… Whites will be minority in a near future…
 
Some cities in America have become foreign in certain sections…. Part of Miami looks like Haiti.. they don’t even speak English in the stores or gas stations when you go there… also Majority of Miami city is Cuban… one time I had a flight delay in Miami for 7 hours and I went to an area next to the Airport called Haleiwa… nobody spoke English.. I was like in a foreign country… Go to Minneapolis, Minnesota…. Some part is like Eastleigh … Somalis everywhere.. no White people… then every corner of Minneapolis you will find a Kisii person from Kenya… I was shocked… every store or restaurant, Kisiis are the workers and Managers…it’s like there more Kisiis in Minneapolis than Nyamira county..🤣🤣🤣
 
These is Apple Tree Apartments, a very nice place. The apartments facing west have a very beautiful view of Nairobi National park and Nairobi Skyline. Also, the place is right next to both the SGR and MGR railways which is very ideal for anyone who enjoys to watch trains.
Plane sighting too as JKIA is only 3 minutes drive away. That is just phase 1 and 2. Construction of phase 3,4 and 5 is on track. And this is only one development, there are thousands of such upcoming projects in Nairobi and its environs. Alafu kuna majamaa wanajaribu kulinganisha Nairobi with their shitty village 😂😂😂
 
Alliance High School zilikuwa ni shule za kanisa la Anglikana, sasa kama wakenya mnamiliki kanisa hilo la waingereza sawa.
What kind of bullshit is this?😂😂
Alliance High School and Alliance Girls High School in Kenya were found by numerous churches combined and Anglican wasn't one of them. They were found by an 'alliance' of churches hence the name Alliance. The churches include,
Church of Scotland
Friends Church
AIC
Methodist
Church of Province of Kenya.

Your idiot brothers will believe every bullshit you throw at them. Silly.🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sijakuelewa sheikh, nikuogope kwenye lipi mimi mzee wa battles bana, waulize wavaa makobaz wenzio kule hawana hamu na mimi mpaka siku hizi wanatukana kabisa.
Tatizo wewe unakuwa kwenye side ya kushindwa.
Ulikuwa upande wa Ukraine ona sasa aibu inavyowapata.
Ulikuwa upande wa Israel ona sasa Afrika nzima inaitetea Palestine, ni wewe tu na watu wachache wasiojua the future of this planet.

Bado unaishi kwenye past mdogo wangu. Amka
 
Tatizo wewe unakuwa kwenye side ya kushindwa.
Ulikuwa upande wa Ukraine ona sasa aibu inavyowapata.
Ulikuwa upande wa Israel ona sasa Afrika nzima inaitetea Palestine, ni wewe tu na watu wachache wasiojua the future of this planet.

Bado unaishi kwenye past mdogo wangu. Amka

Sijawahi kushindwa, nipo Ukraine na Israel na mpaka sasa maustadhi mumeshindwa, kule Gaza mazombi yenu yaliyouawa yanasoma 27,000
Kule Urusi aibu ya supapawa iko pale pale, ameshindwa kuparamia kainchi kadogo.
 
Hujui Yesu alivaa kanzu? Sisi tunavaa kanzu za Yesu. Wewe unavyaa nini mfia dini?

Mikanzu ni vazi linalopaswa kuvaliwa ukanda ule kwa ajili ya mazingira, sasa wewe na ushamba wako unahangaika kuyavaa hehehehe.
 
Sijawahi kushindwa, nipo Ukraine na Israel na mpaka sasa maustadhi mumeshindwa, kule Gaza mazombi yenu yaliyouawa yanasoma 27,000
Kule Urusi aibu ya supapawa iko pale pale, ameshindwa kuparamia kainchi kadogo.
Yaani unanichekesha sana. Kwa kujifariji wewe ni bingwa sana. Lakini uharisia unauona. Zama za Catholic kuitawala dunia imepitwa na wakati.

Kwa sasa ni multi religions mzee.
Amka utajikojolea mdogo wangu.
 
Back
Top Bottom