President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,074
- 93,481
Swali kabla ya taifa la Israel mwaka 1945 nchi hiyo ilikuwa inaitwa nchi gani?Hakuna asiye muislamu anayeweza kukubaliana na utumbo huu, naomba uje kule husika achana na uzi usiohusiana....mtashindwa tu.
![]()
Baada ya Wayahudi kuchinjwa huko German suggestions zipi zilitolewa kuhusu Israel? Je, unajua Uganda nayo ilikuwa kwenye suggestions hizo?
Namalizana na wewe hapa hapa. Maana umekuja kwa namna hiyo.
I AM A TEACHER NAKUPIGA NA KUFUNDISHA.