Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hivo hapo Ni mjini? Una akili timamu wewe?
Acha nikuelekeze.
Hiyo ni miundombinu ya kiuchumi iliochagiza pesa za kukua kwa mji wa Mbeya.
Na mbeya mjini hiyo hapo
 

Attachments

  • Screenshot_2024-02-02-09-18-04-93_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-02-02-09-18-04-93_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    52 KB · Views: 18
  • Screenshot_2024-02-02-09-18-28-50_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-02-02-09-18-28-50_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    72.2 KB · Views: 15
Plane sighting too as JKIA is only 3 minutes drive away. That is just phase 1 and 2. Construction of phase 3,4 and 5 is on track. And this is only one development, there are thousands of such upcoming projects in Nairobi and its environs. Alafu kuna majamaa wanajaribu kulinganisha Nairobi with their shitty village 😂😂😂
these people have no idea of the greater Nairobi clearly.....they think its KICC and CBD
 
Mazingira ya Israel yakoje kijana kutoka Kibera?

Tuambie maana si nyie ndio huwa mumekaririshwa kuichukia Israel kwenye ilmu zenu za madrassa, mnachukia msichokijua?? Njoo kule achana na uzi usiohusiana na mauzombi ya dini yenu.
 
Yaani unanichekesha sana. Kwa kujifariji wewe ni bingwa sana. Lakini uharisia unauona. Zama za Catholic kuitawala dunia imepitwa na wakati.

Kwa sasa ni multi religions mzee.
Amka utajikojolea mdogo wangu.

Umeanza kubwabwaja, wakatoliki wanahusiana wapi na wapi.....njoo kule achana na huu uzi hauhusiani na uzombi wa dini yenu......
 
Tuambie maana si nyie ndio huwa mumekaririshwa kuichukia Israel kwenye ilmu zenu za madrassa, mnachukia msichokijua?? Njoo kule achana na uzi usiohusiana na mauzombi ya dini yenu.
Tatizo lako unadhani wanaochukia vitendo vya Israel ni waislam. No no no!

Ninge kufundisha history, tatizo kichwa chao hicho kimejazwa takataka.
Kwa kifupi tu. Hao wanaojiita Israel siyo Jews bali ni wezi toka UK na USA wenye lengo la ku cotrol mashariki ya kati.

Niite kaka nikuletee full picture.
 
Tatizo lako unadhani wanaochukia vitendo vya Israel ni waislam. No no no!

Ninge kufundisha history, tatizo kichwa chao hicho kimejazwa takataka.
Kwa kifupi tu. Hao wanaojiita Israel siyo Jews bali ni wezi toka UK na USA wenye lengo la ku cotrol mashariki ya kati.

Niite kaka nikuletee full picture.

Hakuna asiye muislamu anayeweza kukubaliana na utumbo huu, naomba uje kule husika achana na uzi usiohusiana....mtashindwa tu.

main-qimg-59203067b5263c40a82fd971fefe35de
 
Umeanza kubwabwaja, wakatoliki wanahusiana wapi na wapi.....njoo kule achana na huu uzi hauhusiani na uzombi wa dini yenu......
Kwani wewe ni mkatoliki?
Ni nini tofauti ya crusade and jihad?
Catholic ndio wameua watu wengi sana duniani kwa kuwalazimisha waifuate dini yao.

Bahati mbaya sana kwa miaka hii wapo na upinzani mkubwa sana wa
1. Protestant Religions
2. Orthodox
3. Islam
4. Hindu
Na dini zingine nyingi tu.
Unatakiwa uwe upande wa faida.
 
Back
Top Bottom