Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mazense middle-class area
View attachment 2890966
Najua kabisa unaona aibu mwenyewe 🤣 🤣 🤣
Hii hapa 👇 👇 👇 👇 Ni Kibera. Tafuta kama utaona nyumba za kuta za mabati hapa tz.

1706803721460.png
 
Tulia wewe kama mngekua munajiweza dawa za TB na saratani zimewaishiaje??
Hata kama Ocean road pekeake ndio ina PET CT ni sawa kwasababu Ocean road ndio kitengo kikuu cha saratani Tanzania.
Mpaka watu wa SADC wanatibiwa pale.
Nchi jirani zaja pale kupata huduma ya saratani,vipi ninyi mna kitengo kikubwa cha saratani kama Ocean road?
General Electric Healthcare moja ya kampuni kubwa zaidi duniani ya kutengeneza medical equipment za cancer wakona taarifa kwako. 👇 👇 👇

 
General Electric Healthcare moja ya kampuni kubwa zaidi duniani ya kutengeneza medical equipment za cancer wakona taarifa kwako. 👇 👇 👇

Mzee CT Scan ya Samburu umegoma kutuwekea? 🤣 🤣 🤣
 
Jibu swali
General Electric Healthcare moja ya kampuni kubwa zaidi duniani ya kutengeneza medical equipment za cancer wakona taarifa kwako. 👇 👇 👇


Jibu swali wacha kuzunguka.
Muna kitengo kikubwa cha saratani kama ocean road?
 
General Electric Healthcare moja ya kampuni kubwa zaidi duniani ya kutengeneza medical equipment za cancer wakona taarifa kwako. 👇 👇 👇

Tttttttt yani 2021 wakati huo ndio munahangaika na kitengo cha saratani??
Ocean road toka 1996 imekua kitengo kikuu cha saratani.
Na hiki kitengo hakistahili kuitwa kitengo kikubwa maana serikali yenu ilitoa taarifa kuwa kuna uhaba wa dawa za saratani,kitu ambacho OCEAN ROAD HAKIJAWAHI KUTOKEA
 
Huyo anajua hata Brabus ni nini kweli. Aingie YouTube channel inaitwa Supercar Blondie. Huyo mwanadada anachambua magari vilivyo. Atapata elimu ya magari kidogo kama yeye sio wale wa kulemewa na kiingereza
Supercar blondie has access to cool rides but is very useless at reviewing. Try Doug Demuro. That guy understands cars.
 
Tofauti ni unapost picha ya kibera ambayo ni slum, kutetea hoja kuwa mji wenu unakaa slum karibia yote 😅
 
Tttttttt yani 2021 wakati huo ndio munahangaika na kitengo cha saratani??
Ocean road toka 1996 imekua kitengo kikuu cha saratani.
Na hiki kitengo hakistahili kuitwa kitengo kikubwa maana serikali yenu ilitoa taarifa kuwa kuna uhaba wa dawa za saratani,kitu ambacho OCEAN ROAD HAKIJAWAHI KUTOKEA
Ukipata hii mashine Ocean Road nitafunga hii account. Sibishani tena hadi unionyeshe moja.
images (8).jpeg
 
Ukipata hii mashine Ocean Road nitafunga hii account. Sibishani tena hadi unionyeshe moja.
View attachment 2891001
Hii picha moja unaionesha tangu jana. Tukisema wewe ni mshamba na mjinga tutakosea? Air Tanzania ina enda every week to China na China ndiyo center ya World Technology.

Hilo bichwa lako unatumia kufugia nywele pekee yake?
 
Back
Top Bottom