Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So when you build a smelter you build for every metal element?
Kwanza nataka ukubali kwamba you erred by saying that metal extraction ni soma la physics.

Ukishakubali hiyo, I'll take you back to where this discussion started when I quoted Joto la Jiwe's post about minerals processing
 
You brought up the argument that because SA has minerals, we should be equal to them. In Tanzania, we started mining our minerals in the 1990s.

SA started in the 1880s.
Leta hoja wacha kuropoka. Leta facts.
And what have I said that's not factual?
 
Trust me, for the next ten years kazi yenu itakuwa hii hii kuiombea mabaya Tz kwenye mashindano makubwa kisoka kama haya, you know what!? Tz imepeleka wachezaji wa4 direct from NBC premier league to afcon na hao players wamewaweka benchi players from European leagues, this is the biggest achievement for East Afrika, na tutaendelea kuiwakilisha hii zone ya wapumbavu.

NB: Tanzania is Southern country not Eastern country.
For the next ten years
Tanzania will have 4 CAF standards stadiums for AFCON 2027 mkapa, Aman, Arusha and Dodoma while Kenya will have one renovated Kisirani na UG will have one renovated Nakivubo.
Most teams will be based in Tanzania where opening and final games will be played.
CAF wana vigezo vyao kuhusu hii michezo kwanza muamko wa kupenda football watu wawe na uwezo wa kujaza uwanja ambapo Tanzania has proven that times and time again, pili transport convenience ambapo Tz kuna BRT orderly transport, Tatu Hotels za hadhi ya juu kwa delegates na mashabiki toka sehemu mbalimbali duniani, nne hospital za viwango vya juu katika kutoa huduma, tano shirikisho la mpira liwe active member wa CAF, sita ubora wa ligi husika na ushindani wa hali ya juu kwa club za ndani etc.

Sasa kwa hali hiyo nadhani unaweza uka deduce kuwa opening na finals zitafanyika nchi gani hapa EA.
Story za Abunwasi.
 
How has it helped aliviate poverty in your country. You still leading this region in poverty indices
Kula chuma hiyo hapa

1706283817285.png


1706283870125.png
 
Tanzania eat her own foods lakini kenya kila mwaka ni njaa.
Tell me why kenya has hunger every year?
Before I tell you that, tell me why Tanzania leads this region in poverty index despite your vast mineral deposits
 
Kwanza nataka ukubali kwamba you erred by saying that metal extraction ni soma la physics.

Ukishakubali hiyo, I'll take you back to where this discussion started when I quoted Joto la Jiwe's post about minerals processing
Hilo lilikuwa swali lako la awali. Uliuliza ndio nikakwambia hujui physics. So answer the question.
 
We did play with greatest teams on which you do not match them in terms of quality.
Zambia 86th in Fifa ranking and DR Congo 64th in Fifa ranking.
Na hizo timu hazikuweza kutufunga na tumewamiliki kimpira.
Wewe endelea kukaa hapo hapo nafasi ya 110 ilhali sie tunakuja nyuma yako.
But sisi tuliwagonga bao 3😂😂😂🤣🤣
 
Ila mkuu extraction of metals sio CHEMISTRY kweli?
Nakakumbuka ka topic cha form three.
Ila Physics nakumbuka Expansion of metals.
Wengine wenu wanapenda ubishi sana hata kwa mambo yaliyowazi. Venus star analazimisha usiku iwe mchana
 
Back
Top Bottom