Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Waturuki ni wezi tu kumamake zao.. mfanya biashara wa kweli ni Mchina na mkorea tu, hizi jamii za kizungu bado zina ideology za kizamani za unyonyaji tu .. piga ban zote zitatuchelewesha
umeona ehee sasa fukunyua posts nilizokataa kununuliwa mabehewa second hand! Yaani taratibuu nilichokikataa kinakuja! Hapo TRC Kadogosa anapaswa kuondoka!
 

View: https://twitter.com/VisitTanzania1/status/1750364065921225101?t=9L4reVW6-9dTIdlYcHfJDw&s=19
20240125_102225.jpg
 
Wanaifuatilia sana Tanzania. 😂😂😂
Tena sanaaaa, unajua wakenya wanaumia sana jinsi tunavyowaacha kimaendeleo, tymewapiga kwenye karibu kila idara, jana waliona wenyewe mpira uliopigwa na stars, kama stars ingetulia ile mechi na zambia leo tungeongea mengine apa, ilikuwa ishafuzu, sema tu ugeni wa mashindano umetu cost, trust me Tz kuna kitu itapata next afcon alafu hawa vibera kazi yao itakuwa hii hii kuisagia kunguni Tz 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wasindikizaji karibuni nyumbani. 😂 😂 😂 😂

Image
Trust me, for the next ten years kazi yenu itakuwa hii hii kuiombea mabaya Tz kwenye mashindano makubwa kisoka kama haya, you know what!? Tz imepeleka wachezaji wa4 direct from NBC premier league to afcon na hao players wamewaweka benchi players from European leagues, this is the biggest achievement for East Afrika, na tutaendelea kuiwakilisha hii zone ya wapumbavu.

NB: Tanzania is Southern country not Eastern country.
 
Back
Top Bottom