Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukitizama historia utafeli we kijana.
Barcelona asa hivi katika ranking iko chini ya manchester city kwasababu ya current performance.
Gormahia hilo kombe alilobeba lina hadhi ya tatu yani sawa na uefa conference league kombe wanaoshiriki ligi daraja la pili ulaya.
Makombe ya kiume Caf champions league na Caf confederation cup .
Je Gormahia ya ngapi katika rank ya hilo kombe??
Which Tanzanian team ishaitabeba hiyo conference?😂
 
Why are Tanzanians always dumb? Mnashangilia chukula ya prisoners.😂😂
Kenya mnaandamana ili Ruto wapatie ugali. Kenya has primitive society 🤣 🤣 🤣

1706284808850.png
 
For importing vehicles that are 20 yrs old? Nop, we don't do that here. In Kenya vehicles are produced locally. The ones that we import are 7yrs old and below.
Mombasa hakuna Ro-Ro 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Tanzania is a gate way of more than 8 countries so tunaruhusu watu kulingana na sera za nchi zao.
But the truth is Kenya does not have Ro-Ro 🤣🤣🤣🤣
 
Today's Fact.

Tanzania is the only country with no win at AFCON since the beginning of the world.
 
Hizi story za tuta tuta tulianza kuzisikia Toka enzi ya Nyerere na hakuna kilichobadilika hata moja. Umasikini bado ni ile ile
Tuta ipi nimezungumzia mimi hapo.? 😂😂😂 Nimepost hadi picha ili uone what's going kwa ground, unasema nimezungumzia "tuta" this is what going on 👇
Screenshot_20240126-180457_1.jpg
Screenshot_20240126-180528_1.jpg
Screenshot_20240126-180534_1.jpg
.. 👇
View: https://youtu.be/evK_9WjuqLk?si=duKTf_PvXNqzxwHE. Hayo ni mashamba ya BBT projects DODOMA.. mji ambao ni semi arid kama unavyoleta excuse zako ati 3/4 ya kenya ni semi arid ndio mana hakuna kilimo chenye mnafanya. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom